dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,403
- 19,424
Andaa deraSaafi.
mwaka huu navuta jiko
Andaa deraSaafi.
Jamani chagueni mmoja mmoja
Acha utani bhana wanyaki watamu nyieIla hivi viumbe ni beautiful aisee, wote wanafaa kupewa crown . Hamna hata nnayemfikia hata robo hapo
Hao watoto wanafanana sura, huyu mshindi katika picha ya mtoa post ndiyo yupi?
Mkuu vasco Da Gama kumbe nawe mdauBalaa mkuu
Hamna mkuu siwez kukucheka najua we kisuThubutuu, niweke ili ucheke mkuu?
Mmh kisu? Panga butu hili😀Hamna mkuu siwez kukucheka najua we kisu
Hee maji kama uko kidimbwi jamani 😀😀Acha utani bhana wanyaki watamu nyie
Mna taste yenu moja amaizing
Nyie ndio wabantu wenyewe .
Hao wanyarwanda hakuna kitu hapo inasemakana hawana Radha kabisa full mimaji Kama uko kidimbwi
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kuna watu ni wazuri na ni warembo jamani sisi wenye sura za baba zetu tutulie tu.
Ni huyo J hapo mkuu, anaitwa Grace IngabireHao watoto wanafanana sura, huyu mshindi katika picha ya mtoa post ndiyo yupi?
Mkuu vasco Da Gama kumbe nawe mdau
Hapana mkuu unaji-underrate pasi kujua tumeshawahi onana in real lifeMmh kisu? Panga butu hili
Mmhhh mbona kuna watu wakojoa mahal pazur
Mmh mkuu hatujawahi bana! Lini ulikuja Sumbawanga kwetu huku?😀Hapana mkuu unaji-underrate pasi kujua tumeshawahi onana in real life
Mshindi ni huyo j anaitwa grace ingabireHao watoto wanafanana sura, huyu mshindi katika picha ya mtoa post ndiyo yupi?