Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,070
Ni kwasababu sio warembo.Unajua Ni kwasababu gani hawapo hapo
Ni kwasababu sio warembo.Unajua Ni kwasababu gani hawapo hapo
Wajomba zako wazima kabisa rafiki.Rafikiii.. jombaaa zangu hawajambo 😊😊
Mgeonysha na takoz bwana ndio tuthaminishe vizuri
Khaaaaah! Balaaa na nusu hili!
Hapa naweza toa kabisa pesa.
Duuh!! Waeza dhania baadhi ya picha zimerudiwa kwamba ni mtu mmoja kumbe sio. Lol
Kabisa brother, sitaniii.hahaaaaaaa
kazi unayo brother
Kabisa brother, sitaniii.
Ni mimi rafiki.. nafurahi kusikia hivyo rafiki 🙂Wajomba zako wazima kabisa rafiki.
Izi yu rafiki au? 🤔
warembo unawajua kweli?Duh, wanyarwanda warembo aisee, 👌
Kutokana na hizo picha za sura zao hapo juu, mbona warembo mi naona au wadaishaje?warembo unawajua kweli?
Hao ni wa daishajiKutokana na hizo picha za sura zao hapo juu, mbona warembo mi naona au wadaishaje?
Hahaha, ndio utamu wa Jf. Huwezi hamini nishawahi kutukanana na kaka yangu kabisa wa kuzaliwa humu, siku amesahau simu take home kuingia JF lahaula la kwata nagundua ni bro. Hata majibizano kwenye mjadala nikakausha Ila yeye hadi leo hajashtukaWajomba zako wazima kabisa rafiki.
Izi yu rafiki au?
Mkuu kwaajili ya kutuma salami au?Mtuno wa lipsi zao mkuu
tofauti ya watutsi na wahutu ni nini?Watutsi wooote sijaona mhutu hapo
Tatizo lao huwa miguu kama magongo...