Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Sura hizo za kitutsi .tofauti ya watutsi na wahutu ni nini?
Urefu wa sura na wembamba wake
Midomo ya mviringo
Pua nyembamba na ndefu .
Rangi(sio Sana)
But hizo juu Ni factors
Ukishawajua tu wala haungahiki
Wangeonesha na huko chini walivyo
Watustsi huwa Hawa nyama huko chini wa miguu miyembamba
Wahutu Ni kama sisi tu miss Bantu pua ngumi sura Pana