.........siyo nyama!!Cha msingi nadhani ni je anawaambia wateja wake kuwa ni mishikaki ya paka kabla hawajanunua? Kama hilo lipo wazi kwa mteja na kwa utashi wao wananunua na kula then sion tatizo kwa muuzaji.
Nyama, nyama, nyama!....Nyama!
Ya paka?...
kwa wale mnaokula nyama pale mombo on your way to Moshi mnalo pia.
nimemsikia hajaniconvince...
huyo anataka airtime tu.... eti namwita nyau nyau wanakuja kisha nawafunga mikono na miguu... nawakanyaga tumboni na kuwachinja... jamani paka ni jamii ya chui na simba... akisense hatari habari yake utaiona... huyo jamaa hana lolote, hao hawako serious
Hata kwa babu Loliondo mwanzoni ilikuwa hivyohivyo
:coffee:
KIKOMBE CHA UZIMA
nimemsikia hajaniconvince...
huyo anataka airtime tu.... eti namwita nyau nyau wanakuja kisha nawafunga mikono na miguu... nawakanyaga tumboni na kuwachinja... jamani paka ni jamii ya chui na simba... akisense hatari habari yake utaiona... huyo jamaa hana lolote, hao hawako serious
Mlio sikiliza power breakfast Leo najua Mmeipata vizuri.
Jamaa mburahati kauza mishkak ya paka for the last four years!
Amekiri kwa siku anauza paka wanne na kuendelea.
Hivi huyu jamaa hawezi chukuliwa hatua zozote za kisheria?
Jamni hii inasikitisha!!
Cha msingi nadhani ni je anawaambia wateja wake kuwa ni mishikaki ya paka kabla hawajanunua? Kama hilo lipo wazi kwa mteja na kwa utashi wao wananunua na kula then sion tatizo kwa muuzaji.
Nyama, nyama, nyama!....Nyama!
Ya paka?...
Mimi nilishindwa kumuelewa kama walaji wanakifahamu wanachokula..Mlio sikiliza power breakfast Leo najua Mmeipata vizuri.
Jamaa mburahati kauza mishkak ya paka for the last four years!
Amekiri kwa siku anauza paka wanne na kuendelea.
Hivi huyu jamaa hawezi chukuliwa hatua zozote za kisheria?
Jamni hii inasikitisha!!
huwezi kufananisha hivyo vitu viwili
yule ni mwongo kwa sababu aliulizwa familia yako inajua kwamba unafanya shuguli hizo ie unachinja na kupika mishkaki ya paka akasema ndio.. nasomesha watoto wanne shule kwa kazi hiyo
akaulizwa; je wewe na familia yako mnakula hiyo nyama... akazunguka mwisho akasema hapana, hata hawajui kwamba nafanya kazi hiyo....
why contradict yourself???
mtu wa wapi eti mpogolo ukimsikiklliza anaonekana mmakonde
Binafsi nina maswali zaidi kuliko majibu,hii kipengele cha kazi ni kazi lengo lake hasa ni nini?na Clouds wanapofikia kurusha kitu kama kile lengo ni nini?kuwajuza watu,kuwatahadharisha watu au?maana wanajua (kama kweli) basi anachofanya ni kosa;huwezi kuwalisha watu paka bila ya ridhaa yao.Sasa Clouds kama wanalijua hilo wamefanya nini baada ya kugundua hilo?
Hii inaonesha ana wateja wengi...anapata shilingi 20,000 to 25,000 per day ifikapo saa 3 mishikaki kwisha duuuuuuuuuuuuuu
...Lakini kwa nyie mliosikiliza maelezo ya huyo jamaa kuna madhara yoyote waliopata wateja wake?? Kama hakuna sioni tatizo na may be huo ukawa uvumbuzi mpya wa kitoweo na hasa kipindi hiki cha ukata mkali nyama za ng'ombe kwenye mabucha bei juu na pia itapunguza hata paka wanaozagaa hovyo kama pale Rose garden kuna paka wakiona unakula wanakugusa kama binadam kuomba msosi....:lol:Huyo jamaa kweli mjasiliamali, haangalii hata athali kwa raia wengine!