Mkuu nmecheka!Kwa hiyo Bashite ataandikaje? Maana mwenyejina kapatikana na anahojiwa na Takukuru Tabora
Mkuu cheki hiyo attached doc acha kutoa povuHii taarifa inatembea kwenye mitandao ya kijamii.haijulikani source ni wapi.hii Tanzania MTU tu akiwa na smart phone anajifanya afisa habari .
OK.nimekupata kwa hiyo sasa hivi taarifa za nchi nzima zinatokea kishapu.maana hiyo ni ya wilaya ya kishapu.cha msingi mambo muhimu kama haya yangekuwa yanatolewa taarifa rasmi na kitengo husika yaani utumishi lakini sio taarifa za kuunga unga.mbona taarifa ya vyeti feki tuliipata bila chenga.Mkuu cheki hiyo attached doc acha kutoa povu
Unaweza kweli ukadhibiti mishahara hewa lakini ukaongeza ugumu wa kutatua madogo madogo ya mtumishi kuhusu mshaharaI see!!In 1970's wakati huo ATC imedhaminiwa na Serikali ya Uholanzi,kupitia Royal Dutch Airlines (KLM) kwenda kusomesha vijana maswala ya Aicraft Engineering and Avionics.Vijana tulipata tabu sana katika kuandaa safari.
Ilikuwa ni lazima kwanza documents za passport ya mtu ianze kuhakikiwa na balozi wa nyumba kumi na viongozi wengine kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Mkoa.Pale BOT wakati wa kuondoka ndio palikuwa mahali pekee ambapo tulipewa pesa za kigeni(dola).Yaani ulikuwa huwezi kupata mahali popote dola zaidi ya bank kuu,kwa hiyo hata wakati wa kurudi likizo ilikuwa ni lazima pesa za kigeni ulizokuja nazo ukabadili pale BOT ndio uingie mtaani kula bata na warembo na kwenda kijijini kapaua nyumba toka kwenye tembe kuwa za bati.
Serikali ilikuwa inajua nani leo kabadilisha shilingi kwenda kwenye dola,na nani kabadili dola kwenda kwenye shilingi.Kiwango cha dola kilichopo ndani ya nchi kilifahamika maana ulikuwa huwezi kupata "Bureau de change" mtaani,isipokuwa za "magendo" kwa wahindi fulani Kkoo na mitaa ya Upanga,ambao wao walienda nazo Kenya kimagendo.
Mwaka mmoja kuna mzee karani wa BOT,ndugu wa mwanasiasa fulani,alinidhulumu karibu shilingi laki mbili za Kitanzania,ambazo kwa wakati huo...Nilikuwa nina uwezo wa kununua shamba hekali 100,kujenga nyumba mbili Dsm na mbili kijini na kuwa na "guruwe" langu toka kwa mjerumani.Anasema mimi mwanafunzi,nasomeshwa na serikali,nalipiwa kila kitu siwezi kumiliki pesa zote,ni dalili za uhujumu uchumi na ukabaila.
Miaka miwili baadae,maafisa wa bandari walizuia "guruwe" langu moja kati ya mawili niliyoagiza toka kwa rafiki yangu Germany,wakasema kumiliki gari mbili ni uwizi na unyonyaji wa kujilimbikizia mali.
Huu mtindo naona sasa unarudi kulekule....Mishahara BOT,na mwisho kubadili pesa itakuwa BOT...Maana halmashauri na mashirika yote ya serikali yaliyokuwa na account benk binafsi sasa wanapeleka pesa kwenye account ya serikali beki kuu.Nafikiri hii ndio ile wanaita "Centralized System of Economy".Serikali ndio anakuwa muamuzi wa shughuli zote za kifedha katika nchi.Sasa haya mabenki binafsi ambayo mishahara ilikuwa inapita kwao watafanya biashara gani?NMB kwa walimu na CRBD kwa watumishi wa umma na mashirika ya serikali......
Nyerere aliliona hili,ndio maana akaleta ile mliita "Madaraka Mikoani".....Wanaita "D by D" yaani "Decentralization by Delegation".Ugatuaji wa madaraka!!Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??
Yaan hilo guruwe lako ulilodhurumiwa bandarini tokea miaka hiyo hadi leo si itakuwa limezaa maguruwe mengi sana yakujaza hata ranch,,po;e kwa kadhia hiyo,,jokes.I see!!In 1970's wakati huo ATC imedhaminiwa na Serikali ya Uholanzi,kupitia Royal Dutch Airlines (KLM) kwenda kusomesha vijana maswala ya Aicraft Engineering and Avionics.Vijana tulipata tabu sana katika kuandaa safari.
Ilikuwa ni lazima kwanza documents za passport ya mtu ianze kuhakikiwa na balozi wa nyumba kumi na viongozi wengine kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Mkoa.Pale BOT wakati wa kuondoka ndio palikuwa mahali pekee ambapo tulipewa pesa za kigeni(dola).Yaani ulikuwa huwezi kupata mahali popote dola zaidi ya bank kuu,kwa hiyo hata wakati wa kurudi likizo ilikuwa ni lazima pesa za kigeni ulizokuja nazo ukabadili pale BOT ndio uingie mtaani kula bata na warembo na kwenda kijijini kapaua nyumba toka kwenye tembe kuwa za bati.
Serikali ilikuwa inajua nani leo kabadilisha shilingi kwenda kwenye dola,na nani kabadili dola kwenda kwenye shilingi.Kiwango cha dola kilichopo ndani ya nchi kilifahamika maana ulikuwa huwezi kupata "Bureau de change" mtaani,isipokuwa za "magendo" kwa wahindi fulani Kkoo na mitaa ya Upanga,ambao wao walienda nazo Kenya kimagendo.
Mwaka mmoja kuna mzee karani wa BOT,ndugu wa mwanasiasa fulani,alinidhulumu karibu shilingi laki mbili za Kitanzania,ambazo kwa wakati huo...Nilikuwa nina uwezo wa kununua shamba hekali 100,kujenga nyumba mbili Dsm na mbili kijini na kuwa na "guruwe" langu toka kwa mjerumani.Anasema mimi mwanafunzi,nasomeshwa na serikali,nalipiwa kila kitu siwezi kumiliki pesa zote,ni dalili za uhujumu uchumi na ukabaila.
Miaka miwili baadae,maafisa wa bandari walizuia "guruwe" langu moja kati ya mawili niliyoagiza toka kwa rafiki yangu Germany,wakasema kumiliki gari mbili ni uwizi na unyonyaji wa kujilimbikizia mali.
Huu mtindo naona sasa unarudi kulekule....Mishahara BOT,na mwisho kubadili pesa itakuwa BOT...Maana halmashauri na mashirika yote ya serikali yaliyokuwa na account benk binafsi sasa wanapeleka pesa kwenye account ya serikali beki kuu.Nafikiri hii ndio ile wanaita "Centralized System of Economy".Serikali ndio anakuwa muamuzi wa shughuli zote za kifedha katika nchi.Sasa haya mabenki binafsi ambayo mishahara ilikuwa inapita kwao watafanya biashara gani?NMB kwa walimu na CRBD kwa watumishi wa umma na mashirika ya serikali......
Nyerere aliliona hili,ndio maana akaleta ile mliita "Madaraka Mikoani".....Wanaita "D by D" yaani "Decentralization by Delegation".Ugatuaji wa madaraka!!Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??
Anakusaidiaje kama vyeti vyako vina majina mawili? Sehemu rahisi kubadilisha jina ni bank na sio kwenye payrollMara nyingi kwenye payroll huwa ni Majina Matatu..kama umetumia mawili inabidi umuone afisa utumishi wako atakusaidia
Asante kwa taarifa mkuu kuhusu BOT Tawi la Mtwara!!Sikuwa ninajua!!Bila shaka imefunguliwa karibuni wakati wa mihemuko ya "Gas ya Mtwara"Yaan hilo guruwe lako ulilodhurumiwa bandarini tokea miaka hiyo hadi leo si itakuwa limezaa maguruwe mengi sana yakujaza hata ranch,,po;e kwa kadhia hiyo,,jokes.
BOT wanayo branch mkoani Mtwara inafanya kazi,,ila kwakweli kucentralize mishahara ya watumishi kupitia BOT italeta usumbufu kwa watumishi
Mkuu wewe naona wa enzi zileeeee za kununua gari kwa vibali, kujenga nyumba kwa vibali, hakuna TV labda uende Zanzibar na kwenda Zanzibar hadi uwe na passport ya kusafiria.I see!!In 1970's wakati huo ATC imedhaminiwa na Serikali ya Uholanzi,kupitia Royal Dutch Airlines (KLM) kwenda kusomesha vijana maswala ya Aicraft Engineering and Avionics.Vijana tulipata tabu sana katika kuandaa safari.
Ilikuwa ni lazima kwanza documents za passport ya mtu ianze kuhakikiwa na balozi wa nyumba kumi na viongozi wengine kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Mkoa.Pale BOT wakati wa kuondoka ndio palikuwa mahali pekee ambapo tulipewa pesa za kigeni(dola).Yaani ulikuwa huwezi kupata mahali popote dola zaidi ya bank kuu,kwa hiyo hata wakati wa kurudi likizo ilikuwa ni lazima pesa za kigeni ulizokuja nazo ukabadili pale BOT ndio uingie mtaani kula bata na warembo na kwenda kijijini kapaua nyumba toka kwenye tembe kuwa za bati.
Serikali ilikuwa inajua nani leo kabadilisha shilingi kwenda kwenye dola,na nani kabadili dola kwenda kwenye shilingi.Kiwango cha dola kilichopo ndani ya nchi kilifahamika maana ulikuwa huwezi kupata "Bureau de change" mtaani,isipokuwa za "magendo" kwa wahindi fulani Kkoo na mitaa ya Upanga,ambao wao walienda nazo Kenya kimagendo.
Mwaka mmoja kuna mzee karani wa BOT,ndugu wa mwanasiasa fulani,alinidhulumu karibu shilingi laki mbili za Kitanzania,ambazo kwa wakati huo...Nilikuwa nina uwezo wa kununua shamba hekali 100,kujenga nyumba mbili Dsm na mbili kijini na kuwa na "guruwe" langu toka kwa mjerumani.Anasema mimi mwanafunzi,nasomeshwa na serikali,nalipiwa kila kitu siwezi kumiliki pesa zote,ni dalili za uhujumu uchumi na ukabaila.
Miaka miwili baadae,maafisa wa bandari walizuia "guruwe" langu moja kati ya mawili niliyoagiza toka kwa rafiki yangu Germany,wakasema kumiliki gari mbili ni uwizi na unyonyaji wa kujilimbikizia mali.
Huu mtindo naona sasa unarudi kulekule....Mishahara BOT,na mwisho kubadili pesa itakuwa BOT...Maana halmashauri na mashirika yote ya serikali yaliyokuwa na account benk binafsi sasa wanapeleka pesa kwenye account ya serikali beki kuu.Nafikiri hii ndio ile wanaita "Centralized System of Economy".Serikali ndio anakuwa muamuzi wa shughuli zote za kifedha katika nchi.Sasa haya mabenki binafsi ambayo mishahara ilikuwa inapita kwao watafanya biashara gani?NMB kwa walimu na CRBD kwa watumishi wa umma na mashirika ya serikali......
Nyerere aliliona hili,ndio maana akaleta ile mliita "Madaraka Mikoani".....Wanaita "D by D" yaani "Decentralization by Delegation".Ugatuaji wa madaraka!!Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??
ipo toka mwaka 2006Asante kwa taarifa mkuu kuhusu BOT Tawi la Mtwara!!Sikuwa ninajua!!Bila shaka imefunguliwa karibuni wakati wa mihemuko ya "Gas ya Mtwara"
Mkuu enzi hizo!!Zilikuwa nyakati i ngumu sanaMkuu wewe naona wa enzi zileeeee za kununua gari kwa vibali, kujenga nyumba kwa vibali, hakuna TV labda uende Zanzibar na kwenda Zanzibar hadi uwe na passport ya kusafiria.
Mkuu ukatinga town na miguruwe 2!! Ulikuwa noma.
Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??
Very unnecessary...!Kupangiana ,yaani jina la account unakopitia mshahara lifanane na la kazini.
Tofauto mfano.... William....halafu bank wiliam
Hata mimi nina shida hiyo kwenye payroll inasomeka J.....K....Ndebire wakati account ya benki jina ni J.....K.....NdebileNtaenda kurekebisha mimi ni muhanga katika jina langu moja badala ya 'L' wakaeka 'R' . Tutanyooka mwaka huu duuh