Mishahara ya watumishi wa umma kulipwa hazina kupitia BoT

Hii taarifa inatembea kwenye mitandao ya kijamii.haijulikani source ni wapi.hii Tanzania MTU tu akiwa na smart phone anajifanya afisa habari .
Mkuu cheki hiyo attached doc acha kutoa povu
 

Attachments

  • IMG-20170518-WA0020.jpg
    IMG-20170518-WA0020.jpg
    22 KB · Views: 76
Mkuu cheki hiyo attached doc acha kutoa povu
OK.nimekupata kwa hiyo sasa hivi taarifa za nchi nzima zinatokea kishapu.maana hiyo ni ya wilaya ya kishapu.cha msingi mambo muhimu kama haya yangekuwa yanatolewa taarifa rasmi na kitengo husika yaani utumishi lakini sio taarifa za kuunga unga.mbona taarifa ya vyeti feki tuliipata bila chenga.
 
I see!!In 1970's wakati huo ATC imedhaminiwa na Serikali ya Uholanzi,kupitia Royal Dutch Airlines (KLM) kwenda kusomesha vijana maswala ya Aicraft Engineering and Avionics.Vijana tulipata tabu sana katika kuandaa safari.

Ilikuwa ni lazima kwanza documents za passport ya mtu ianze kuhakikiwa na balozi wa nyumba kumi na viongozi wengine kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Mkoa.Pale BOT wakati wa kuondoka ndio palikuwa mahali pekee ambapo tulipewa pesa za kigeni(dola).Yaani ulikuwa huwezi kupata mahali popote dola zaidi ya bank kuu,kwa hiyo hata wakati wa kurudi likizo ilikuwa ni lazima pesa za kigeni ulizokuja nazo ukabadili pale BOT ndio uingie mtaani kula bata na warembo na kwenda kijijini kapaua nyumba toka kwenye tembe kuwa za bati.

Serikali ilikuwa inajua nani leo kabadilisha shilingi kwenda kwenye dola,na nani kabadili dola kwenda kwenye shilingi.Kiwango cha dola kilichopo ndani ya nchi kilifahamika maana ulikuwa huwezi kupata "Bureau de change" mtaani,isipokuwa za "magendo" kwa wahindi fulani Kkoo na mitaa ya Upanga,ambao wao walienda nazo Kenya kimagendo.

Mwaka mmoja kuna mzee karani wa BOT,ndugu wa mwanasiasa fulani,alinidhulumu karibu shilingi laki mbili za Kitanzania,ambazo kwa wakati huo...Nilikuwa nina uwezo wa kununua shamba hekali 100,kujenga nyumba mbili Dsm na mbili kijini na kuwa na "guruwe" langu toka kwa mjerumani.Anasema mimi mwanafunzi,nasomeshwa na serikali,nalipiwa kila kitu siwezi kumiliki pesa zote,ni dalili za uhujumu uchumi na ukabaila.

Miaka miwili baadae,maafisa wa bandari walizuia "guruwe" langu moja kati ya mawili niliyoagiza toka kwa rafiki yangu Germany,wakasema kumiliki gari mbili ni uwizi na unyonyaji wa kujilimbikizia mali.

Huu mtindo naona sasa unarudi kulekule....Mishahara BOT,na mwisho kubadili pesa itakuwa BOT...Maana halmashauri na mashirika yote ya serikali yaliyokuwa na account benk binafsi sasa wanapeleka pesa kwenye account ya serikali beki kuu.Nafikiri hii ndio ile wanaita "Centralized System of Economy".Serikali ndio anakuwa muamuzi wa shughuli zote za kifedha katika nchi.Sasa haya mabenki binafsi ambayo mishahara ilikuwa inapita kwao watafanya biashara gani?NMB kwa walimu na CRBD kwa watumishi wa umma na mashirika ya serikali......

Nyerere aliliona hili,ndio maana akaleta ile mliita "Madaraka Mikoani".....Wanaita "D by D" yaani "Decentralization by Delegation".Ugatuaji wa madaraka!!Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??
Unaweza kweli ukadhibiti mishahara hewa lakini ukaongeza ugumu wa kutatua madogo madogo ya mtumishi kuhusu mshahara
 
I see!!In 1970's wakati huo ATC imedhaminiwa na Serikali ya Uholanzi,kupitia Royal Dutch Airlines (KLM) kwenda kusomesha vijana maswala ya Aicraft Engineering and Avionics.Vijana tulipata tabu sana katika kuandaa safari.

Ilikuwa ni lazima kwanza documents za passport ya mtu ianze kuhakikiwa na balozi wa nyumba kumi na viongozi wengine kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Mkoa.Pale BOT wakati wa kuondoka ndio palikuwa mahali pekee ambapo tulipewa pesa za kigeni(dola).Yaani ulikuwa huwezi kupata mahali popote dola zaidi ya bank kuu,kwa hiyo hata wakati wa kurudi likizo ilikuwa ni lazima pesa za kigeni ulizokuja nazo ukabadili pale BOT ndio uingie mtaani kula bata na warembo na kwenda kijijini kapaua nyumba toka kwenye tembe kuwa za bati.

Serikali ilikuwa inajua nani leo kabadilisha shilingi kwenda kwenye dola,na nani kabadili dola kwenda kwenye shilingi.Kiwango cha dola kilichopo ndani ya nchi kilifahamika maana ulikuwa huwezi kupata "Bureau de change" mtaani,isipokuwa za "magendo" kwa wahindi fulani Kkoo na mitaa ya Upanga,ambao wao walienda nazo Kenya kimagendo.

Mwaka mmoja kuna mzee karani wa BOT,ndugu wa mwanasiasa fulani,alinidhulumu karibu shilingi laki mbili za Kitanzania,ambazo kwa wakati huo...Nilikuwa nina uwezo wa kununua shamba hekali 100,kujenga nyumba mbili Dsm na mbili kijini na kuwa na "guruwe" langu toka kwa mjerumani.Anasema mimi mwanafunzi,nasomeshwa na serikali,nalipiwa kila kitu siwezi kumiliki pesa zote,ni dalili za uhujumu uchumi na ukabaila.

Miaka miwili baadae,maafisa wa bandari walizuia "guruwe" langu moja kati ya mawili niliyoagiza toka kwa rafiki yangu Germany,wakasema kumiliki gari mbili ni uwizi na unyonyaji wa kujilimbikizia mali.

Huu mtindo naona sasa unarudi kulekule....Mishahara BOT,na mwisho kubadili pesa itakuwa BOT...Maana halmashauri na mashirika yote ya serikali yaliyokuwa na account benk binafsi sasa wanapeleka pesa kwenye account ya serikali beki kuu.Nafikiri hii ndio ile wanaita "Centralized System of Economy".Serikali ndio anakuwa muamuzi wa shughuli zote za kifedha katika nchi.Sasa haya mabenki binafsi ambayo mishahara ilikuwa inapita kwao watafanya biashara gani?NMB kwa walimu na CRBD kwa watumishi wa umma na mashirika ya serikali......

Nyerere aliliona hili,ndio maana akaleta ile mliita "Madaraka Mikoani".....Wanaita "D by D" yaani "Decentralization by Delegation".Ugatuaji wa madaraka!!Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??
Yaan hilo guruwe lako ulilodhurumiwa bandarini tokea miaka hiyo hadi leo si itakuwa limezaa maguruwe mengi sana yakujaza hata ranch,,po;e kwa kadhia hiyo,,jokes.
BOT wanayo branch mkoani Mtwara inafanya kazi,,ila kwakweli kucentralize mishahara ya watumishi kupitia BOT italeta usumbufu kwa watumishi
 
Yaan hilo guruwe lako ulilodhurumiwa bandarini tokea miaka hiyo hadi leo si itakuwa limezaa maguruwe mengi sana yakujaza hata ranch,,po;e kwa kadhia hiyo,,jokes.
BOT wanayo branch mkoani Mtwara inafanya kazi,,ila kwakweli kucentralize mishahara ya watumishi kupitia BOT italeta usumbufu kwa watumishi
Asante kwa taarifa mkuu kuhusu BOT Tawi la Mtwara!!Sikuwa ninajua!!Bila shaka imefunguliwa karibuni wakati wa mihemuko ya "Gas ya Mtwara"
 
I see!!In 1970's wakati huo ATC imedhaminiwa na Serikali ya Uholanzi,kupitia Royal Dutch Airlines (KLM) kwenda kusomesha vijana maswala ya Aicraft Engineering and Avionics.Vijana tulipata tabu sana katika kuandaa safari.

Ilikuwa ni lazima kwanza documents za passport ya mtu ianze kuhakikiwa na balozi wa nyumba kumi na viongozi wengine kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Mkoa.Pale BOT wakati wa kuondoka ndio palikuwa mahali pekee ambapo tulipewa pesa za kigeni(dola).Yaani ulikuwa huwezi kupata mahali popote dola zaidi ya bank kuu,kwa hiyo hata wakati wa kurudi likizo ilikuwa ni lazima pesa za kigeni ulizokuja nazo ukabadili pale BOT ndio uingie mtaani kula bata na warembo na kwenda kijijini kapaua nyumba toka kwenye tembe kuwa za bati.

Serikali ilikuwa inajua nani leo kabadilisha shilingi kwenda kwenye dola,na nani kabadili dola kwenda kwenye shilingi.Kiwango cha dola kilichopo ndani ya nchi kilifahamika maana ulikuwa huwezi kupata "Bureau de change" mtaani,isipokuwa za "magendo" kwa wahindi fulani Kkoo na mitaa ya Upanga,ambao wao walienda nazo Kenya kimagendo.

Mwaka mmoja kuna mzee karani wa BOT,ndugu wa mwanasiasa fulani,alinidhulumu karibu shilingi laki mbili za Kitanzania,ambazo kwa wakati huo...Nilikuwa nina uwezo wa kununua shamba hekali 100,kujenga nyumba mbili Dsm na mbili kijini na kuwa na "guruwe" langu toka kwa mjerumani.Anasema mimi mwanafunzi,nasomeshwa na serikali,nalipiwa kila kitu siwezi kumiliki pesa zote,ni dalili za uhujumu uchumi na ukabaila.

Miaka miwili baadae,maafisa wa bandari walizuia "guruwe" langu moja kati ya mawili niliyoagiza toka kwa rafiki yangu Germany,wakasema kumiliki gari mbili ni uwizi na unyonyaji wa kujilimbikizia mali.

Huu mtindo naona sasa unarudi kulekule....Mishahara BOT,na mwisho kubadili pesa itakuwa BOT...Maana halmashauri na mashirika yote ya serikali yaliyokuwa na account benk binafsi sasa wanapeleka pesa kwenye account ya serikali beki kuu.Nafikiri hii ndio ile wanaita "Centralized System of Economy".Serikali ndio anakuwa muamuzi wa shughuli zote za kifedha katika nchi.Sasa haya mabenki binafsi ambayo mishahara ilikuwa inapita kwao watafanya biashara gani?NMB kwa walimu na CRBD kwa watumishi wa umma na mashirika ya serikali......

Nyerere aliliona hili,ndio maana akaleta ile mliita "Madaraka Mikoani".....Wanaita "D by D" yaani "Decentralization by Delegation".Ugatuaji wa madaraka!!Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??
Mkuu wewe naona wa enzi zileeeee za kununua gari kwa vibali, kujenga nyumba kwa vibali, hakuna TV labda uende Zanzibar na kwenda Zanzibar hadi uwe na passport ya kusafiria.

Mkuu ukatinga town na miguruwe 2!! Ulikuwa noma.
 
Mkuu wewe naona wa enzi zileeeee za kununua gari kwa vibali, kujenga nyumba kwa vibali, hakuna TV labda uende Zanzibar na kwenda Zanzibar hadi uwe na passport ya kusafiria.

Mkuu ukatinga town na miguruwe 2!! Ulikuwa noma.
Mkuu enzi hizo!!Zilikuwa nyakati i ngumu sana
 
Ukirundika kila kitu BOT,mtu akipata tatizo la mshahara akiwa Nanjilinji,tawi la BOT huko kusini ni mpaka Mbeya...Tutafika kweli??

barafu awamu hii inajitahidi kuturudisha zama za Ujima, sasa hivi kila fedha ya serikali inakuwa centralized BOT.

Pamoja na faida ambazo inawezekana wameziona lakini ukweli dhahiri uamyzi huo una disadvantages nyingi kuliko faida.

By the way Mkuu na wewe uliwezaje kupata kiasi chote kila kikubwa cha fedha miaka ile kama sio dalili za "ukabaila"?(joke)

Subiria Vijana wa buku 7 wale wazee wa " Chapa kazi Magu, tupo nyuma yako baba" wanakuja soon kukupinga kwa povu jingi.
 
Swali langu ni kwamba sasa watumishi wa umma wakitaka kukopa watakopa kupitia BOT au? Na wale Watumishi wanaodaiwa na Mabenki mbalimbali marejesho yao yatakuwaje? Na je kama hiyo mishahara ikilipwa Hazina kupitia BOT sasa mabenki mengine si yatakosa Interest Rate na hivyo faida kupungua na Wenye Hisa kwenye hayo Mabenki magawio yao kupungua? Kiuchumi hii inakuwaje siyo kama ni kuzipalalaizi hizi benki nyingine? Msaada wadau mimi bado sijaelewa huu utaratibu vizuri. Au BOT wakitoa hiyo mishahara wataipitisha kwenye hizi benki nyingine ambazo Watumishi wamefungua akaunti? Msaada Please......
 
Ntaenda kurekebisha mimi ni muhanga katika jina langu moja badala ya 'L' wakaeka 'R' . Tutanyooka mwaka huu duuh
Hata mimi nina shida hiyo kwenye payroll inasomeka J.....K....Ndebire wakati account ya benki jina ni J.....K.....Ndebile
 
Back
Top Bottom