Mishahara ya watumishi wa umma kulipwa hazina kupitia BoT

Mkuu umenikumbusha kadhia iliyonikuta enzi hizo namaliza darasa la saba tunajaza zile form nikaandika majina yote matatu yani First Name(Langu), Middle Name(Baba), na Surname (Ukoo) basi mwalimu mmoja wa kike akanizuia hilo jina la kati. Nimeenda elimu za mbele hadi ya juu kote nadaiwa majina matatu, cheti cha kuzaliwa, kupiga kura, kitambulisho cha taifa, na hati ya kusafiria kote wanataka majina matatu. Mimi nimeamua kuongeza hilo la kati kama inavyoonesha ktk hizo nyaraka muhimu kama cheti cha kuzaliwa. Namchukia sana yyule mwalimu, nashangaa kwanini alikuwa mjinga wakati alifika kidato cha nne na alikuwa mke wa afisa uhamiaji nilitegemea angejua umuhimu wa middle name.
Vyetifeki
 
Mkuu umenikumbusha kadhia iliyonikuta enzi hizo namaliza darasa la saba tunajaza zile form nikaandika majina yote matatu yani First Name(Langu), Middle Name(Baba), na Surname (Ukoo) basi mwalimu mmoja wa kike akanizuia hilo jina la kati. Nimeenda elimu za mbele hadi ya juu kote nadaiwa majina matatu, cheti cha kuzaliwa, kupiga kura, kitambulisho cha taifa, na hati ya kusafiria kote wanataka majina matatu. Mimi nimeamua kuongeza hilo la kati kama inavyoonesha ktk hizo nyaraka muhimu kama cheti cha kuzaliwa. Namchukia sana yyule mwalimu, nashangaa kwanini alikuwa mjinga wakati alifika kidato cha nne na alikuwa mke wa afisa uhamiaji nilitegemea angejua umuhimu wa middle name.
Pole sana kiongozi. Hilo ni tatizo ambalo limekumba watu wengi sana nchi hii - walimu wenyewe walikuwa wanafanya kazi kama maroboti; no thinking at all. Ndipo ulipo umuhimu wa kuwa na utaratibu unaoeleweka wa majina; kwa mfano sharti mtoto anapoandikishwa shule awe na majina matatu kwa sababu ndivyo taasisi nyingi zinavyotaka. Kingine, kuna mdau kaeleza juu huko, ni kila mwananchi kuwa na unique id/number ambayo ataitumia popote anapohitaji huduma. Hii itasaidia kuondoa changamoto kama hizo.
 
Itakuwa ndiyo kwisha habari yako.
Aliyekutuma ukubaliane na bank hizo habari kuongeza jina nani!?

Mimi nilikataa huo ujinga wa Benki, kutaka majina matatu maana niliisha ona msala Kama huo kitaa.

Benki ni wapuuzi sana wanapohitaji hela, huwa hawaangalii matatizo yako ya badae.

Nenda Benki ulekebishe.
Kuna idara au taasisi ambazo zinamtaka mtu aandikishe majina matatu, manne hadi matano. Kwa mfano mimi vyeti vya taaluma vina majina mawili mawili lakini nilifika sehemu sheria ikavunjwa ili kutimiza mashariti ya enrollment in a certain institute na nikawa na majina matatu, baadae kuongezwa hadi matano na sasa nina majina mengi mno tena tofauti tofauti ila lucky enough BOT hawatahusika kunilipa maana mimi si kwao
 
Hapana,siyo kweli kuwa toka mwaka 2006,ni hivi majuzi tu,tena imejengwa karibu na Shule ya Msingi na Sekondari Rahaleo,eneo karibu na Skoya kwa juu. Inapakana na mtaa mmoja ukiitwa Mtaa wa Sinani.
Huna taarifa naongea kitu nilicho na uhakika nacho
 
Hivi hili tangazo limewekwa kwenye website gani? Nahitaji tangazo rasmi lenye mhuhuri ama saini la aliyelitoa!
 
Kuna wengine CAO alibadili jina lake majina yote sahihi lakini yeye aliamua jina la katikati liwe la mwisho la mwisho liwe katikati!
mm first appointment nlivyokua nahama aliyeniandikia barua alikosea jina langu la ukoo na hakuweka la katikati
 
Mfano naweza kuhamisha pesa kwa njia ya simbanking kama navyfanya sasa bila kwenda benki au tutaanza kwenda kupanga foleni na vitabu vya karatasi kama zamani
 
Kuna idara au taasisi ambazo zinamtaka mtu aandikishe majina matatu, manne hadi matano. Kwa mfano mimi vyeti vya taaluma vina majina mawili mawili lakini nilifika sehemu sheria ikavunjwa ili kutimiza mashariti ya enrollment in a certain institute na nikawa na majina matatu, baadae kuongezwa hadi matano na sasa nina majina mengi mno tena tofauti tofauti ila lucky enough BOT hawatahusika kunilipa maana mimi si kwao

That's good of you unless otherwise, ungekuwa unalia au kutaabika sasa hivi.
 
Mkuu umenikumbusha kadhia iliyonikuta enzi hizo namaliza darasa la saba tunajaza zile form nikaandika majina yote matatu yani First Name(Langu), Middle Name(Baba), na Surname (Ukoo) basi mwalimu mmoja wa kike akanizuia hilo jina la kati. Nimeenda elimu za mbele hadi ya juu kote nadaiwa majina matatu, cheti cha kuzaliwa, kupiga kura, kitambulisho cha taifa, na hati ya kusafiria kote wanataka majina matatu. Mimi nimeamua kuongeza hilo la kati kama inavyoonesha ktk hizo nyaraka muhimu kama cheti cha kuzaliwa. Namchukia sana yyule mwalimu, nashangaa kwanini alikuwa mjinga wakati alifika kidato cha nne na alikuwa mke wa afisa uhamiaji nilitegemea angejua umuhimu wa middle name.
Mimi nilibahatika kuwa na majina ma3 ila ishu jina la babu wameweka kama middle name. Maana kipindi tuko 4m4 tunajaza form za necta walihitaj majina ma3 namie nilikua natumia mawil langu na la baba angu ile kuongeza jina wakaweka katikat sasa kimbembe ndio nakiona sasa had nataka nikaape mahakamani, academic certificates na vyeti vingne majina hayafanani
 
Kuna wengine CAO alibadili jina lake majina yote sahihi lakini yeye aliamua jina la katikati liwe la mwisho la mwisho liwe katikati!
Hata mim nina hilo tatizo kwenye vyet shule na taaluma jina la baba limekua mwsho na babu lipo kati... kwenye birth certificate na ID zingne yapo kawaida kama yanavyotakiwa, hapa tatizo ndio linapojitokeza had nataka nika aape mahakamani kubadili majina
 
Back
Top Bottom