Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,744
Rushwa ya kisiasa KWA WABUNGE HIYOOO ina maana wakiongezewa posho watazidi kushiba na kulevywa na shibe hivyo kusinzia wakati wenzao serikali wakikatiza na mikataba feki hadi langoni halafu kwa best practice hiyo mikataba ya kifo kwa umma itaitwa nyaraka nyeti za serikali.
pumbaf!!
wabunge kumbukeni kuwa sisi ndio tunawalipa mishahara ila serilkali inasimamia tu na kumbukeni kuwa kuna watanzania wengi wamepoteza wake zao na watoto kabla na wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora ambazo hawawezi kulipia. kuweni na huruma kidogo TUGAWANE UMASKINI basi
pumbaf!!
wabunge kumbukeni kuwa sisi ndio tunawalipa mishahara ila serilkali inasimamia tu na kumbukeni kuwa kuna watanzania wengi wamepoteza wake zao na watoto kabla na wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora ambazo hawawezi kulipia. kuweni na huruma kidogo TUGAWANE UMASKINI basi