Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,586
- 1,792
In America(USA) and some european countries urais ni prestige but in Africa ni deal.
NAMSHUKURU mleta Uzi, amenisaidia sana, kumbe mishahara ya Marais ni Kidogo hivyo, Nchi Kama Marekani Raisi Monthly anachota 33,333 hiyo ni gross Bado net pay ambayo baada ya makatokato ya Uzeeni possibly anabaki Na 25,000 usd, kitu gani Kwa linchi kubwa Kama Hilo, hapo anatakiwa awasomeshe Watoto wake, nguo zake, amfurahishe Michelle, achangie JF Kama ni member, Obama atabaki Na nini, true Kwamba Usafiri, house, bill zote, Na mengine analipiwa Na state lakini amana yake ni kiduchu sana, nakubali Kwamba Urais ni Utumishi SIO KIPATO, waNaogombea uongozi wa Nchi Kwa shinikizo la njaa zao Basi hapa wapate SOMO. HAKUNA FEDHA KWENYE SIASA NI UTUMISHI TU..