Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,341
- Thread starter
- #101
Nafikiri wewe ubongo wako una lag behind by 180 degree maana yake,hata kama wewe ni msomi basi huo usomi wako haujakusaidia kitu zaidi ya kunyoosha mkono mwisho wa mwezi na kupewa kikupasacho.ITS NOT UR FAULT,sio tatizo lako.but ungejiuliza capitalism,socialism ni idea ya nani na kwa nini nchi ziliamua kufuata hizo desturi ambazo ni manmade. Funguka,ili kuendelea ni lazima ujifunze kwa waliokutangulia.c'mon learn to think out of the box
shida ya wabongo tunapenda kujudge vitu ambavyo havituhusu wewe hizo salary zao umezipata wapi na una uhakika gani na salary zao ebu jaribu kufuata yanayotuhusu achana na mambo ambayo yapo nje ya uwezo wako, think about your country forget about the rest