GalileiGalileo
Senior Member
- Nov 19, 2011
- 165
- 225
Kilichoongezeka ni Annual Increment tu! Ambayo ipo kisheria lakini ilizuiwa wakati huu wa awamu ya 5. Hakuna nyongeza ya mishahara wala arrears! Najaribu kujiuliza zile fedha zilizotangazwa na mkulu kuwa zitalipa watumishi elfu 59 zimepangiwa kazi nyingine au?