Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Kilichoongezeka ni Annual Increment tu! Ambayo ipo kisheria lakini ilizuiwa wakati huu wa awamu ya 5. Hakuna nyongeza ya mishahara wala arrears! Najaribu kujiuliza zile fedha zilizotangazwa na mkulu kuwa zitalipa watumishi elfu 59 zimepangiwa kazi nyingine au?
 
Wale wa nmb mzigo ushaingia tayar.

Increment vile vile Kama nilivosema.

Yule jamaa alokua ananibishia humu akuje hapa haraka

Anipe msimbazi wangu nikanywe supu sahivi
 
Huu uzi hufa mara tu kila mtumishi akipata mshahara.
Mshahara ni haki ya kila mtumishi bila kujali kaajiriwa sekta gani au anashughuli gani za ziada.
 
Back
Top Bottom