mshahara wa nani!? rais, housegirl, karani, hakimu, polisi n.k
Wa changudoa
mshahara wa nani!? rais, housegirl, karani, hakimu, polisi n.k
Mimi wa ajira mpya April 2014 sijaona mshahara vp kuna wa ajira mpya aliyeingiziwa kwa kua inasemekana mishahara imeingizwa toka hazina haijapitia halmashauri
Mimi wa ajira mpya April 2014 sijaona mshahara vp kuna wa ajira mpya aliyeingiziwa kwa kua inasemekana mishahara imeingizwa toka hazina haijapitia halmashauri
umevurugwa wewe. Ulevi wa gongo ni mbaya sana
mkuu elewa kuwa hunitukani mimi bali unatukana wafanyakazi wote tanzania ambao ndio wenye kilio kikali kwa hayo niliyoyaeleza!
-wamekula kiapo dhidi ya serikali ya c.c.m kwa kuinyima kura kwani wanasema imeishia kuwa danganya kwa zaidi ya miaka 50 juu ya maisha bora.
Dah ni kwel kabis
unadhan wanchopew ni hak.yaona wewe una support ujinga huu?
na wewe una support ujinga huu?