Mishahara juu

Mishahara juu

Nyongeza ya mshahara mpya ni sh ngapi?

====================================

Hakika inakera na inaudhi sana tuu,yaani tangu wapate mishahara yao ya mwezi huu julai wamekuwa wakilalamika sana juu ya utapeli waliofanyiwa,na haya ndiyo wanayoyasema nanukuu:-

-"kodi ya nyumba imepanda,umeme bei juu,nauli ya kwendea kazi imepanda,mkaa gunia moja tsh:30000,watoto wanataka ada shuleni,vyakula bei juu,madeni nadaiwa kila kiduka kilichopo mtaani kwetu,saccos nako nadaiwa na bado hisa sijapeleka,dharula ndogondogo kama ugonjwa na wageni hizo hazielezeki.

Mshahara hautoshi nyongeza yenyewe kiduchu,aaah! Sijui nani atanisaidia maana kama ni kudanganywa ilikuwa mei mosi mkuu alipo tuonyesha usanii wake kwakutudanganya hadharani,tucta nao wanatumika.

Sasa najiuliza nimlilie nani maana kufa sifi,maisha magumu,hii serikali hii ya CCM ngoja tutakuna 2015".

-Hayo ndiyo malalamiko yao na siyo yangu mimi willafrica.

Hivyo naomba kuwasilisha jamvini.
 
wababa ni majangaaaaa, salary ya mwezi july imetoka lakini pesa iliyoongezwa ni elfu thelethini tuu.... Hongereni walimu.....
 
wababa ni majangaaaaa, salary ya mwezi july imetoka lakini pesa iliyoongezwa ni elfu thelethini tuu.... Hongereni walimu.....

Huu ni ungese wa hali ya juu...
Mwakani watakoma kuringa ny.oko zao,
Wanadhani wote tunashibia ESCROW AC pu.mbavu sana serikali dhurumishi!
 
Huu ni ungese wa hali ya juu...
Mwakani watakoma kuringa ny.oko zao,
Wanadhani wote tunashibia ESCROW AC pu.mbavu sana serikali dhurumishi!

Acha matusi bana me kwangu mbona wameongeza Tsh.112,000/= na nyingi sana
 
idadi kubwa ya walimu skary zao ni D1 so ongezeko ni 30,000 kasoro.... Kama hutaki kalale..... Walimu woyeeeeeeeeeee woyeeeeeee hoyeeeeeeee...........
 
Mimi wa ajira mpya April 2014 sijaona mshahara vp kuna wa ajira mpya aliyeingiziwa kwa kua inasemekana mishahara imeingizwa toka hazina haijapitia halmashauri
 
mkuu kwangu ni 72,500 ni kweli naapa kwa iman yangu
 
Back
Top Bottom