Mishahara juu

Mishahara juu

mkuu elewa kuwa hunitukani mimi bali unatukana wafanyakazi wote tanzania ambao ndio wenye kilio kikali kwa hayo niliyoyaeleza!
-wamekula kiapo dhidi ya serikali ya c.c.m kwa kuinyima kura kwani wanasema imeishia kuwa danganya kwa zaidi ya miaka 50 juu ya maisha bora.

chadema mngeongeza mshahara sh. ngapi?
 
Watanzania mtalalamika mpaka lini? Wambieni waanzishe kombe la kulalamika la dunia nauhakika mtashinda tu. Kimbilion kwa sasa imekuwa 2015, utafikiri kweli wataazibu ccm, hakuna lolote. Muda ukifika kilo moja ya sukari, kanga moja, t-shirt n.k.unasahau yote haya na unauza maisha yako tena kwa miaka 10.

Hapo ndio huwa nachoka ndugu yangu
 
wengi hawajui kwa nini wamelipa moja kwa moja bila kupitia halmashauri zao,hiyo yote ni janja ya CCM kukwepa maswali ya kwenye control sheet mana itaonyesha ongezeko sahihi.serikali ya kihuni hii,inatangaza tofauuti na ilichofanya.tuseme waziri hajui madhara ya kutangaza neema halafu akaongeza pesa kidogo
 
Back
Top Bottom