Mishahara juu

Mishahara juu

Mi naona ni dharau kubwa kwa wafanyakazi hasa wa kada ya elimu na kilimo ambako hakn m/kaz aliyeongezwa zaid ya 36,000/- kidogo polisi angalau mana wake wa degree wameonezwa si chini ya 68,000/ na posho yao imepanda kwa 30,000/ juu cjui kwasbb hawa ndo wabeba kura za magendo?? Wafanyakaz mjitafakari upya na hilo zombi ccm vinginevo mtalia xn.
 
Bora yenu wengne hata mshahara wenyewe ndo hatujapewa kabisaa
 
mtasubiri sana. Ccm ni nambari one. Labda wafanyakazi wenu hapo kinondoni ndo wanalalamika

hata kanu ya kenya walikuwa wakiyasema maneno kama yako lakini mwishowe wakafa kibudu.
-hii serikali ya c.c.m wafanyakazi wameipania vilivyo ifikapo 2015.
 
mi naona ni dharau kubwa kwa wafanyakazi hasa wa kada ya elimu na kilimo ambako hakn m/kaz aliyeongezwa zaid ya 36,000/- kidogo polisi angalau mana wake wa degree wameonezwa si chini ya 68,000/ na posho yao imepanda kwa 30,000/ juu cjui kwasbb hawa ndo wabeba kura za magendo?? Wafanyakaz mjitafakari upya na hilo zombi ccm vinginevo mtalia xn.

hawa majambazi wenye laana mwisho wao ni 2015,wafanyazi wanalia sana juu ya mishahara midogo na nyongeza ni kiduchu.
 
Watanzania mtalalamika mpaka lini? Wambieni waanzishe kombe la kulalamika la dunia nauhakika mtashinda tu. Kimbilion kwa sasa imekuwa 2015, utafikiri kweli wataazibu ccm, hakuna lolote. Muda ukifika kilo moja ya sukari, kanga moja, t-shirt n.k.unasahau yote haya na unauza maisha yako tena kwa miaka 10.
 
Basic ya D1 ni 639,000. Take home nimeona 517,000/=

labda kama hakatwi CWT,au NHIF ndio atafika hapo,ila kma ana katwa hayo madude haki ya nani hatoboi kwenye mia tano.
 
Tulioni Mnyolewe waheshimiwa, Hadi kuwe na absolute poverty na gene coefficient ya 0.9 ndio mtashtuka na kuwatoa Madarakani hao CCM, as lonng as kuna mianya ya rushwa mtaendelea kuipigia kura hadi siku za mwisho.
SHAMEFUL
 
What about the fall of Tsh agains USD, does it match/covered by that little f**k salary increase?.... Hahahaaaa, politicians!, what's ua plans over Tzanians?
 
idadi kubwa ya walimu skary zao ni D1 so ongezeko ni 30,000 kasoro.... Kama hutaki kalale..... Walimu woyeeeeeeeeeee woyeeeeeee hoyeeeeeeee...........

Ndo wale wanaomuona Januari anawafaa! Eti wanaona mbali, tangu lini CCM inawaza mema kwa wananchi?
 
Ndo wale wanaomuona Januari anawafaa! Eti wanaona mbali, tangu lini CCM inawaza mema kwa wananchi?

Hawa wagombea Urais wa Ciciem hawafai hata kidogo, ni kiherehere chao tu. Sitta, Membe, January, ... Kwa nini wasitetee maslahi ya wafanyakazi sasa, kwa nini wangoje wapate urahisi? Usanii mtupu, na wafanyakazi sijui wanajisahau! kila kipindi cha uchaguzi wanafanyiwa usanii lakini hawakomi....

Jee Wafanyakazi wa SEKTA BINAFSI, nani mtetezi wao?
 
Back
Top Bottom