Misemo ya Kizamani

Tinginya.=mwanamke mnene
Kashangae Ferry , Shilingi inazama Meli inaelea.
Kisambusa=Kuweka mkono dirishani Garini
Kubwa kuliko.=kuweka mkono dirishani(garini)

Mbau= Shilingi Ishirini
Dala= shilingi Tano
Guruwe= Peugeot 504.
Mchelemchele.
Ujiuji
 
Nipige jeki-nisaidie hele kidogo.
Nimechacha ile mbaya-sina hele yoyote.
Nistue kidogo-nisaidie hela kidogo.
Nipo mkavu ile mbaya-sina hela yoyote.
nipo Alosti-sina kitu.
Kudinya au kupiga miti-kufanya mapenzi.
Mdwanzi
Unanilostisha-unani poteza au unani haribia.
jamaa yule feki ile mbaya-jamaa haileweki au sio wakumwamini au mwenye matendo mabovu.
 
fagilia
ngunguri-ngangari
jino kwa jino
paluu-sh.20
gozi la kenge-surali za kodray
enzi hizo ukipiga picha lazma uonyeshe dole gumba
 
Jamaa kambalasa...

Mimi nilikuwa nimejichimbia getto na wewe ndio ukaja kunichondoa...
Kuchondoa - Kumfuma

Oyaaaa Minya Mwanangu.

Kausha basi..
 
Maujiko-Sifa, msela nondo- Mhuni, dole tupu halina ukucha, mambo kwa soksi-?,Kugonga ngozi- Kufanya mapenzi, King'asti-msichana, Mgoroko,mporipori,wa kuja-Mshamba, kipunga,cheka na watoto-wali.
 
Kishtobe

Sakala Mento

Hiyo "Sakala mento" haikuwa hivyo. Zamani ilikuwa "Sakala" tu ikimaanisha kichaa. Kuna wimbo wa Tabu Ley na Afrisa Intenationale unaoitwa "Sacramento" ndio ulioleteleza neno "Sakala" kuongezewa neno "mento". Kwa anaetaka kuusikia huo wimbo utafute kwenye YouTube!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom