Bwenzi = nywele chache zilizosimama wima mbele juu ya kichwa..
Sugardaddy
Shangingi
Blazamen
Mnyamwezi
Magirini - Mdanganyifu flan au anayediai kama anajua vitu zaidi.
Melikebu
Mkweche - Haswa magari yalikuwa yanaitwa Gari lenyewe Mkweche.. au kopo
Masantula Ngoma mpwita!
Disco kuruka Debe
Kuruka Majoka
Jokofu - Kabati la Mbeho /Fridge
GWARA - shilingi tano
POUND - shiling ishirini
Tafashiiiii
Dukinaaaa
duu nangatai na potelo kwa baba taybali, umenikumbusha mbaaali, nilisoma Muhi2 pia, wewe LY gani?,labda nakujua.Ambaa Huko..! = Nenda zako huko
Kwendega.!
Maliwato - Bafuni
Banzooka = Bublish
NAngatai = Biscuit za Wahindi kama ulishawahi zila huku ukishushia na Sun vita Wa Muhimbili pr School Wanajua haya kwa Mzee Taibari
yangu macho,Mxok.nitairudisha special kwa ajili yako.asante kwa busu.