Miraji Kikwete atoa Tisheti 500 kwa msiba wa Ngwair

Kwan T-shirt 500 ni bei gan mpaka mchonge kenga kiasi hcho???! Mbona ni chini ya 2M. Sasa kwa mtoto wa Presda kuna tatizo gan.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

Tell them, hela ya chai hiyo.... Misaada ikitolewa maneno, isipotolewa maneno......khah!!! We Tanzanians tuna matatizo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
duuuu! sio ccm ni miraji. japo siipendi ccm kufa ila hapo ni miraji sio ccm
 
Katika picha.
attachment.php
 

Attachments

  • tshirt.jpg
    tshirt.jpg
    59.4 KB · Views: 776
Ingekuwa kagaramia kusafirisha mwili wa marehemu ningemuelewa, ni ujinga ku support T- shirt wakati unahitajika msaada wa kufikisha mwili nyumbani Tanzania...
Waache kutufanya wajinga Ngwair ni mtoto wa mtanzania anahitaji haki zote Kama mtanzania toka kwa serikali na ubalozi wa Tanzania south africa... Leo mtanzania anafia nje na ni maarufu na serikali imekaa kimya as if hakuna kitu kimetokea!!! Serikali ioneshe basi inajari watu wake japo kwa hao ambao taifa zima linawajua... Hata itoe tamko kuwa wanataka kujua vijana wao imekuwaje mpaka wamekufa na kupata matatizo kwa namna ile? Kwa hao maarufu hali ndo hiyo je watoto wamkulima hali itakuwaje kama sio kitupwa kama mbwa na kusahauliwa pale pale...

kula like mkuu
 
Huyu mtoto ametoa wapi hela zote hizo? Ingekuwa enzi za mwalimu angepigwa kati na angesema. Na kwanini hela ya hizo tshirt asingezitoa msaada kwa mayatima na hata shule za kata zisizokuwa na walimu? Kuliko kufanya jambo lisilokuwa na msaada wowote kwa marehem na hata familia yake?

Kwani Tshirt 500 bei gani mkuu?!!
 
Du miraji toa na pesa bwana giv back 2 da society hela ulizopiga za kodi zetu ni nyingi.....

"Babuu na miraji kikwete kihama mnataka nikilete niwavunje miguu mjiunge na kundi la viwete,miraji kumbuka haki ulivyofukuzwa na baba yako ghetto kwangu nikakulaki tunashindia kiporo cha wali uliobaki dingi kushika ikulu unataka kunishtaki?"-KALAPINA
 
Back
Top Bottom