Miraji Kikwete atoa Tisheti 500 kwa msiba wa Ngwair

Du miraji toa na pesa bwana giv back 2 da society hela ulizopiga za kodi zetu ni nyingi.....

"Babuu na miraji kikwete kihama mnataka nikilete niwavunje miguu mjiunge na kundi la viwete,miraji kumbuka haki ulivyofukuzwa na baba yako ghetto kwangu nikakulaki tunashindia kiporo cha wali uliobaki dingi kushika ikulu unataka kunishtaki?"-KALAPINA

mkuu bora ata ulivyo quote pina make huyu miraji kakaa sana block 41 hadi alipopelekwa kwa obama.
 
huu msaada unamsaidia nani?ngweair?, mjane?. Yatima?, marehemu? Au!. Nadhani mtoa msaada anauza jina.
wewe ndio hatukujui na wala hatutakujua huyu mtoto wa ikulu hata mshua wake afe kesho yeye tutamjua tuuuu tena bila kuuza jina kokote atapoenda watampigia saluti wenyewe ukiwepo na wewe mtokwa povu
 
Miraji kikwete bila shaka kwa niaba ya ccm na labda mkuu wa kaya ametoa Tsht 500 apa leaders kusapot msiba wa ngwea.Bila shaka ccm wamesikia kelele za kumsapot artist aliewasaidia ktk kampeni

PicsArt_13700977199659543312.jpg
Mbona nyuso zao haziendani na umri wao?wanaonekana wamezeka ilihali ni vijana,utafikiri wale wanaoshindia kangala pale Legico Majengo Mbeya
 
Aiseeee hapo woote hao inaonekana wanakula sembe cheki nyuso zao
 
wewe ndio hatukujui na wala hatutakujua huyu mtoto wa ikulu hata mshua wake afe kesho yeye tutamjua tuuuu tena bila kuuza jina kokote atapoenda watampigia saluti wenyewe ukiwepo na wewe mtokwa povu
Ulipewa t shiry ngapi?, masalia yA mzigo ulipata mgao?, endelea kupiga saluti
 
Back
Top Bottom