Du miraji toa na pesa bwana giv back 2 da society hela ulizopiga za kodi zetu ni nyingi.....
"Babuu na miraji kikwete kihama mnataka nikilete niwavunje miguu mjiunge na kundi la viwete,miraji kumbuka haki ulivyofukuzwa na baba yako ghetto kwangu nikakulaki tunashindia kiporo cha wali uliobaki dingi kushika ikulu unataka kunishtaki?"-KALAPINA
wewe ndio hatukujui na wala hatutakujua huyu mtoto wa ikulu hata mshua wake afe kesho yeye tutamjua tuuuu tena bila kuuza jina kokote atapoenda watampigia saluti wenyewe ukiwepo na wewe mtokwa povuhuu msaada unamsaidia nani?ngweair?, mjane?. Yatima?, marehemu? Au!. Nadhani mtoa msaada anauza jina.
Mbona nyuso zao haziendani na umri wao?wanaonekana wamezeka ilihali ni vijana,utafikiri wale wanaoshindia kangala pale Legico Majengo MbeyaMiraji kikwete bila shaka kwa niaba ya ccm na labda mkuu wa kaya ametoa Tsht 500 apa leaders kusapot msiba wa ngwea.Bila shaka ccm wamesikia kelele za kumsapot artist aliewasaidia ktk kampeni
Jamaa anatengeneza CV punde si punde mtasikia jamaa anagombea ujumbe wa halmashauri kuu ya CCM
TID punguza bwibwi dogo.....cocaine na chips ya wapi na wapi aisee......
bange mpaka ikulu
Ulipewa t shiry ngapi?, masalia yA mzigo ulipata mgao?, endelea kupiga salutiwewe ndio hatukujui na wala hatutakujua huyu mtoto wa ikulu hata mshua wake afe kesho yeye tutamjua tuuuu tena bila kuuza jina kokote atapoenda watampigia saluti wenyewe ukiwepo na wewe mtokwa povu
mbona nyuso zao haziendani na umri wao?wanaonekana wamezeka ilihali ni vijana,utafikiri wale wanaoshindia kangala pale legico majengo mbeya
Ama kweli we bongo lala .. so kila anayekufa watafutwe nduguze wajengewe nyumba ..etcl
ivi familia yako wanajua kuwa unaumwa?