Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Ulitaka wafanye nini we mpuuzi


Tanzania haijawekeza kwenye utafiti
Sioni kulikuwa kuna haja ya kumuita hvo ulivomuita jamaa kafanya tu kuainisha hakuna pahala kutukana au kuonesha dharau, sasa kwa kuwa wewe mjomba wako ni profesa basi umekimbilia kupaniki......kuna cha kujifunza hapa.
 
Profesa naona unatokwa povu
 
Tulia we ng'ombe wa mayele.
 
hongera kwao kuna watanzania wanalisha familia zao kupitia hizo miradi.
 
Ila Mpwayungu Village jamani


Sijui hayuko online?!

Maana akija kutana na Mada hii simpatii picha atakavyo- comment kwenye mada hii .

Atasema Mwalimu ni Mwalimu tu hata akiwa wa elimu ya juu?!
 
Mmmh! Wewe utakuwa unachanganya mambo wewee sio kila mwalimu wa chuo kikuu ni prof.
 
Mshahara wa professor ni zaidi ya 6million kwa mwezi hapo hujaweka marupurupu mengine kama semina nk...

Na hawana stress za biashara kama watu kariakoo walivyo...
Kimsimgi they are living life
Upo sahihi lakini wafanyabiashara wengi nimeona wanasomesha watoto shule hizi za gharama ambazo mshahara wa Prof mara nne hata mara sita...
 
Wewe ni Professa?
Shida ni kwamba hiyo sua wengine tunaijua sana,hizo public universities mishahara haitofautiani kamwe.

Wewe unaamka na mawazo ya kijima eti sua kuna prof ana mshahara wa 10m,huu mshahara wa serikali ipi ?

Shida ni kwamba sua ni makumbusho,wewe unajaribu kuipaisha kwa mambo ya uongo.

Huo uprofesa ninao kibao rafiki na ndugu zangu hapo sua,hawana huo mshahara wa uongo.
 
Punguza ujuaji mkuu
Unataka nisijue?

Nakwambia hivi 👇

Leta Tafiti za maprofesa wa Tanzania zilizo saidia mabadiliko makubwa nchini.

Maprofesa wa Tanzania ni njaa kali, chawa, wasaka teuzi na wachumia tumbo.
 
Kuna madam mmoja pale IFM alitufundisha entrepreneurship,tukafika ile hatua ya kuandika business proposal,yeye Hana biashara yoyote anatusimulia jinsi alivyokulia kwenye familia ya mama yake ambae alikuwa anauza kuku wa kisasa,xaxa unawezaje kumpaka mwalim ambae Hana hata baishara atengeneze taifa la wajasiliamali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…