Nahisi akiwa anasema hivyo na shingo huwa inapinda kidogo na macho huwa amefumba au kurembua. :lol::lol::lol::yawn:
Mimi Ningekuwa Reginald Mengi ningesha mtimua Kazi long time ago.
Mimi Ningekuwa Reginald Mengi ningesha mtimua Kazi long time ago.
Mungu alifahamu hilo kabla ya kukuumba, ndio maana hukuwa Reginald Mengi. Ukiendelea kuwa na roho mbaya kwa watu wengine kama hivyo, atakunyang'anya hata hicho alichokupatia.
nimekulenga nini? hayo ni mawazo yangu haiwezekani mtu wakati unaripoti unaongea kawaida then kwenye hitimisho unaleta swaga; na swaga zote huwa zina vitendo vya ajabu ajabu waangalie masharo uharo wote swaga zao na vitendo vyao au yule sharo milionea "eemama"!!! then utakubaliana na mimi. Na mimi najua G. Marato kama akisahau kuweka hizo swaga anaongea poa. ila akikumbuka dah! jiandae kumalizia I-----------T----------------V.Hisia potofu..
nimekulenga nini? hayo ni mawazo yangu haiwezekani mtu wakati unaripoti unaongea kawaida then kwenye hitimisho unaleta swaga; na swaga zote huwa zina vitendo vya ajabu ajabu waangalie masharo uharo wote swaga zao na vitendo vyao au yule sharo milionea "eemama"!!! then utakubaliana na mimi. Na mimi najua G. Marato kama akisahau kuweka hizo swaga anaongea poa. ila akikumbuka dah! jiandae kumalizia I-----------T----------------V.
Halafu kuna yule mwingine mdada huwa anaripoti kaskazini Tanga, Kilimanjaro nimemsahau jina yeye swaga lake ni TBC "1" mkazo, nukta.