Mimii ni Geooorge Marato wa I.....T....V...........

Hiyo ndo style yake mkuu! Anajulikana hata kwa watoto!! ukimuuliza mtoto atakuambia, waaaaa I.T.V
 
Vipi kuhusu Reinfred Masako.........Mwenye ndoo hayaa..........mwenye plasitic hayaa............., Mwenye kijiko hayaa........
 
Nahisi akiwa anasema hivyo na shingo huwa inapinda kidogo na macho huwa amefumba au kurembua. :lol::lol::lol::yawn:
 
Ah ha ha ha ha ha ha amavubi umenifurahisha sana kumbe huyu jamaa anakera wengi eeh???hata mama yangu anakerwa sana na style ya jamaa...ila me naiona ipo sawa tu....ah ha ha ha
 
It is absurd kwa yule kusema Geoooorge Maaaraaatu wa Iiiitv. It is ridiculous. Anafanya hivyo labda kuwafurahisha watu wanaokunywa machicha.
 
Hisia potofu..
nimekulenga nini? hayo ni mawazo yangu haiwezekani mtu wakati unaripoti unaongea kawaida then kwenye hitimisho unaleta swaga; na swaga zote huwa zina vitendo vya ajabu ajabu waangalie masharo uharo wote swaga zao na vitendo vyao au yule sharo milionea "eemama"!!! then utakubaliana na mimi. Na mimi najua G. Marato kama akisahau kuweka hizo swaga anaongea poa. ila akikumbuka dah! jiandae kumalizia I-----------T----------------V.

Halafu kuna yule mwingine mdada huwa anaripoti kaskazini Tanga, Kilimanjaro nimemsahau jina yeye swaga lake ni TBC "1" mkazo, nukta.
 
nimekulenga nini? hayo ni mawazo yangu haiwezekani mtu wakati unaripoti unaongea kawaida then kwenye hitimisho unaleta swaga; na swaga zote huwa zina vitendo vya ajabu ajabu waangalie masharo uharo wote swaga zao na vitendo vyao au yule sharo milionea "eemama"!!! then utakubaliana na mimi. Na mimi najua G. Marato kama akisahau kuweka hizo swaga anaongea poa. ila akikumbuka dah! jiandae kumalizia I-----------T----------------V.

Halafu kuna yule mwingine mdada huwa anaripoti kaskazini Tanga, Kilimanjaro nimemsahau jina yeye swaga lake ni TBC "1" mkazo, nukta.

Ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom