Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 2,742
- 4,932
Huwa najiuliza sana hili swali.
Hivi nyie wakuu huwa mnatumia wapi mtandao huu pedwa ni huwa mnajificha ama? Walahi sijawahi kushuhudia mtumiaji yeyote yule akiperuzi waziwazi huu mtandao. Nimeshuhudia raia wakiperuzi waziwazi mitandao ya kijamii kama vile Instagram, WhatsApp, Facebook nakadhalika ila sio huu wa JF.
Mpaka huwa nabaki na maswali mengi sana, ama nyie ni maroboti au alliens? Ama ni vile huu mtandao bado haujajulikana sana kama mitandao mingine? Lakini hapa hapana watumiaji wa mtandao huu ni wengi sana Tanzania hii, sasa wakuu mbona huwa siwagumii kabisa mkitumia huu mtandao?
Wakuu huwa mnatumia huu mtandao mkiwa wapi? Maana katika mtandao nina uraibu nao ni huu wa JF ni unashika namba moja kabisa. Au wakuu sisi watumiaji wa JF tuko sayari nyingine kabisa?
Hivi nyie wakuu huwa mnatumia wapi mtandao huu pedwa ni huwa mnajificha ama? Walahi sijawahi kushuhudia mtumiaji yeyote yule akiperuzi waziwazi huu mtandao. Nimeshuhudia raia wakiperuzi waziwazi mitandao ya kijamii kama vile Instagram, WhatsApp, Facebook nakadhalika ila sio huu wa JF.
Mpaka huwa nabaki na maswali mengi sana, ama nyie ni maroboti au alliens? Ama ni vile huu mtandao bado haujajulikana sana kama mitandao mingine? Lakini hapa hapana watumiaji wa mtandao huu ni wengi sana Tanzania hii, sasa wakuu mbona huwa siwagumii kabisa mkitumia huu mtandao?
Wakuu huwa mnatumia huu mtandao mkiwa wapi? Maana katika mtandao nina uraibu nao ni huu wa JF ni unashika namba moja kabisa. Au wakuu sisi watumiaji wa JF tuko sayari nyingine kabisa?