LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Hii ya George Marato huwaga ni ya kipekeee jamani!
Kwakweli huwa na change channel kabla haja maliza kusema wa aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiteeeeeeeeeeeee veeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mimi Ningekuwa Reginald Mengi ningesha mtimua Kazi long time ago.
ndo nn sasa we kongosho ww!!!mie huwa namuona kama duh!
mwacheni mtu na lafudhi yake aliyopewa na Mungu, hata wewe tukikuchunguza tutakutoa kasoro tu, du mshikaji ukiwa boss mahali wataipata.
Umesahau mbwembwe za ben kiko wa rtd enzi zile? Za ezekiel marongo nazo umesahau?
Kwakweli huwa na change channel kabla haja maliza kusema wa aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiteeeeeeeeeeeee veeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Jamani huu jama huwa simuelewi, huwa anajifanyisha au??
Unajuwa kuna dada mmoja ni mrembo tena mzuri huwa ananiambia anaupenda sana mdomo wangu mimi huwa naona ananiletea mizaha, sasa hapa kweli nimeamini mapenzi kweli mabaya, yaani mimi huyu jamaa huwa akianza tu kuripoti ni lazima niskip chanel sipendi kabisa kusikia ujinga wake.
Afadhali mbwembwe za Hasan Malini kidogo zinakubalika lakini sio huyu Idiot Marato wa ITVEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!