Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,107
Kweli kabisa. Wewe sijui unao wastan wa ngapi? Itakua std 6
Mimi zinalala degree sita kitanda kimoja.
Kweli kabisa. Wewe sijui unao wastan wa ngapi? Itakua std 6
OA.Jamani wanajamvi naombeni Mawazo yenu. Kuhusiana na kichwa cha habari hapo juu, mie ni Muislam, nilioa Mwalimu wa Primary nikaachana nae baada ya kubaini anafanya Ngono na afisa Taaluma wa Jiji.
Nimepata binti aliyeishia Darasa la saba. Nipeni uzoefu haya Maisha yatakuaje kwa gepu hilo kubwa la elimu.
Nawasilisha.
saaaafi,Nilioa hivyohivyo
Kumbe hata Mama zetu nao walisoma sana elimu za kidunia ndiyomaana walidumu sana katika ndoa?Huyo wa la saba akikutana na mashangingi ya jiji utalia. Waendesha bodaboda wafyatua tofali wauza bucha wrote wake. Angalia tu mwanamke msomi anayejitambua.
Acha ku- GENERALIZE tabia za Wanawake wengi tokana na Mwanamke m1 tu.Kijuujuu unaweza ukafikiri tatizo la huyo dokta na mkewe ni interest tofauti.Naomba nikupe undani
wa hili tatizo lililokumba ndoa ya dokta.Hiki kisa cha dstv kilitokea mwaka 2006.
Dokta alimweleza mkewe kwamba tamthiliya za Mambo Hayo na Tausi zilishaisha zamani hazipo tena.Mkewe
hakuamini, aliona mume anamyima raha makusudi.Mke akanyamaza lakini rohoniakahifadhi cheche ya hasira iliyolipuka na kuvunja ndoa mwaka 2008 mume alipomnunulia simu.
Kwa sababu ya uelewa mdogo wa mambo, kila akimpigia mumewe simu akaambiwa na mitambo yenye sauti ya kike:"Namba unayopiga kwa sasa haipatikani kwa sasa, jaribu baadaye" mke anafikiri sauti ni ya hawara wa mumewe!
Mume akirudi nyumbani mke analianzisha, mume anamfahamisha juu ya hiyo sauti inakotoka, mke anang'ang'ania msimamo na uelewa wake.
Mwishowe waliachana oktoba 2013 baada ya vikao vyingi vya usuluhishi kushindikana.
Daktari yu mbioni anatafuta mke.
Darasa la saba la wapi mkuu? maana darasa la saba wa mjini ni form sixJamani wanajamvi naombeni Mawazo yenu. Kuhusiana na kichwa cha habari hapo juu, mie ni Muislam, nilioa Mwalimu wa Primary nikaachana nae baada ya kubaini anafanya Ngono na afisa Taaluma wa Jiji.
Nimepata binti aliyeishia Darasa la saba. Nipeni uzoefu haya Maisha yatakuaje kwa gepu hilo kubwa la elimu.
Nawasilisha.
Kweli kabisa!Mkuu mwanamke kwanza kazi yake ni kuangalia watoto nyumbani na kumtunza mumewe hakuna kumpeleka shule muhimu anajua baya na zuri hiyo inamtosha.tulia baadae umfungulie mradi wake wakumuweka busy maisha yaendelee.
Kuowa mwanamke asiyesoma sana kuna raha sana hasa ukute anajitambua,hii dunia utajiona kama wewe ndo mwanaume kushinda wote.
Ngoja ujue kingereza tabu zianze! Muache ivoivo atakuheshm milele! Ukianza kumtoa tongotongo atajiona na yy Ana PhD!Hahah hatukutarajia mkuu ila tulilipokea kama Neema ya Mungu. Kwa nini hushauri kumsomesha? Matarajio yangu aje asimamie biashara mbalimbali tutakazo anzisha, sasa inatakiwa kidogo hata ooh yes yaan Kingeee na mahesabu na kutunza kumbukumbu awe anajua kwa kiasi cha kutosha.
Nina sista amemaliza shahada ya sheria pale UDSM mume wake darasa la saba A,anabanda lake anagonga nyundo na kupiga msasa.
Watu walisema weweweweeeeee,ahhhg wapi wanalisongesha life lao toka kitambo.



hatari sana. Huyo jamaa mpiga msasa atakua analishwa sana matango poriTena nakuhurumia sana maana huko kote alikopitia alikua anagongwa sana. Degree za chupi ziko nyingi sana