Mimi nina masters nataka kuoa Darasa la saba

Ndugu na Jamaa mie kiukweli kabisa nilioa huyo binti. Maisha na mapenzi mubashara sana. Ndoa ina heshima sana. Full respect in all direction. Na tumeshazaa watoto wawili. Mtoto mkubwa atafikisha miaka mitatu ikifika February, mdogo atafikisha miaka miwili ikifika March, 2019. Next year July nawabeba wote waje kuungana na Mimi nikiwa China kimasomo ya PhD. Na nina mpango nikirudi TZ baada ya shule kuisha nitampeleka mkewangu shule awe na elimu ya form 4 kisha tutaangalia mipango mingine. Asanteni mlionishauri nioe. Naona sijakosea kabisa.
Mkuu punguza speed,kazaa mtoto wa kwanza naona hujamlembea ukampa mimba tena,hapo kwenye kumsomesha sikishauri
 
Ndugu na Jamaa mie kiukweli kabisa nilioa huyo binti. Maisha na mapenzi mubashara sana. Ndoa ina heshima sana. Full respect in all direction. Na tumeshazaa watoto wawili. Mtoto mkubwa atafikisha miaka mitatu ikifika February, mdogo atafikisha miaka miwili ikifika March, 2019. Next year July nawabeba wote waje kuungana na Mimi nikiwa China kimasomo ya PhD. Na nina mpango nikirudi TZ baada ya shule kuisha nitampeleka mkewangu shule awe na elimu ya form 4 kisha tutaangalia mipango mingine. Asanteni mlionishauri nioe. Naona sijakosea kabisa.
Mkuu mwanamke kwanza kazi yake ni kuangalia watoto nyumbani na kumtunza mumewe hakuna kumpeleka shule muhimu anajua baya na zuri hiyo inamtosha.tulia baadae umfungulie mradi wake wakumuweka busy maisha yaendelee.

Kuowa mwanamke asiyesoma sana kuna raha sana hasa ukute anajitambua,hii dunia utajiona kama wewe ndo mwanaume kushinda wote.
 
Mkuu mwanamke kwanza kazi yake ni kuangalia watoto nyumbani na kumtunza mumewe hakuna kumpeleka shule muhimu anajua baya na zuri hiyo inamtosha.tulia baadae umfungulie mradi wake wakumuweka busy maisha yaendelee.

Kuowa mwanamke asiyesoma sana kuna raha sana hasa ukute anajitambua,hii dunia utajiona kama wewe ndo mwanaume kushinda wote.

Kweli kabisa mkuu
 
STD 7 Safi Sana ukimpa kitu kichwani anakuwa zaidi ya genious oa mi Nina MPH wife STD 7 naona akili ya kutafuta mipunga ananizidi maana anachakarika mbaya kwa ujasiliamali
 
Mkuu punguza speed,kazaa mtoto wa kwanza naona hujamlembea ukampa mimba tena,hapo kwenye kumsomesha sikishauri

Hahah hatukutarajia mkuu ila tulilipokea kama Neema ya Mungu. Kwa nini hushauri kumsomesha? Matarajio yangu aje asimamie biashara mbalimbali tutakazo anzisha, sasa inatakiwa kidogo hata ooh yes yaan Kingeee na mahesabu na kutunza kumbukumbu awe anajua kwa kiasi cha kutosha.
 
Vipi umesha test mzigo kama ni mnato??? afu wewe unataka mke au Elimu?? chagua kimoja kisha fanya maamuzi
 
Jamani wanajamvi naombeni Mawazo yenu. Kuhusiana na kichwa cha habari hapo juu, mie ni Muislam, nilioa Mwalimu wa Primary nikaachana nae baada ya kubaini anafanya Ngono na afisa Taaluma wa Jiji.
Nimepata binti aliyeishia Darasa la saba. Nipeni uzoefu haya Maisha yatakuaje kwa gepu hilo kubwa la elimu.

Nawasilisha.

Unaoa elimu au mke?? Jiandae kumwacha sio muda mrefu, mapenzi hayahusiani na MA yako
 
Oa haraka mkuu, wanawake wenye ajira wanasumbua sana, ukioa mfungulie biashara ndogo kama saloon ya kike, ama cherehani ili imkeep bize
 
kwa akili za wafanya biashara tungekuuliza master yako ina ubovu gani mbona unaitrade kwa bei ya hasara std seven
mkuu oa tu mfungulie biashara maisha yaende
 
Jamani wanajamvi naombeni Mawazo yenu. Kuhusiana na kichwa cha habari hapo juu, mie ni Muislam, nilioa Mwalimu wa Primary nikaachana nae baada ya kubaini anafanya Ngono na afisa Taaluma wa Jiji.
Nimepata binti aliyeishia Darasa la saba. Nipeni uzoefu haya Maisha yatakuaje kwa gepu hilo kubwa la elimu.


Nawasilisha.
Kwani unaoa elimu?
 
La saba msomeshe ili wazo la elimu kuwa kigeazo ucwe nalo kichwani ,uwaze kuoa,
 
Back
Top Bottom