Ndugu na Jamaa mie kiukweli kabisa nilioa huyo binti. Maisha na mapenzi mubashara sana. Ndoa ina heshima sana. Full respect in all direction. Na tumeshazaa watoto wawili. Mtoto mkubwa atafikisha miaka mitatu ikifika February, mdogo atafikisha miaka miwili ikifika March, 2019. Next year July nawabeba wote waje kuungana na Mimi nikiwa China kimasomo ya PhD. Na nina mpango nikirudi TZ baada ya shule kuisha nitampeleka mkewangu shule awe na elimu ya form 4 kisha tutaangalia mipango mingine. Asanteni mlionishauri nioe. Naona sijakosea kabisa.