Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

Ngoja niwaangalie waliowahi kuachwa, ila sio siri mwanaume kuacha raha sana ila ukiachwa wewe inauma sana

Sijamlenga mtu, nimesema tu
 
Mi aliniacha halafu nilivyopata mwingine zaidi yake ikawa tabu eti turudiane basi na mie nishamringia mpaka leo na simpendi mpaka najishangaaa.nishajipatia tulizo langu sina shida mie aku!!!!!!!!1!1
Hata kukumbushana enzi zenu basi jamani, hata mara moja moja sio mbaya
 
Sijawahi kuachwa,na mimi sijawahi kuacha,nnao kumi na mbili na kila mmoja anadai ndoa,kati yao nimezaa na wanne
 
Sijawahi achwa ila siku ikitokea itakuwa komesha ya yote na wote. Sitaki itokee
 
Hakuna cha kukumbushiana wala sina hamu kabisa hua namuona kama kaka yangu sina hisiaa
Ina maana katika mahusiano yenu ya awali, hakuna mema au mazuri ambayo mwenzio aliyafanya? Bila ya shaka unayakumbuka, usimdharau mwenzio kama anakusumbua mkubalie, mnakumbushana kisha mnaomba toba kila mmoja kwa muda wenu, yaani wewe ukifika nyumbani toba nyingi, na yeye akifika kwake toba nyingi pia. Sisi binaadamu dhaifu sana tukubali tuna upungufu/mapungufu

Nakuomba umfikirie, mimi ni jinsia ya kiume najua hali ambayo anakumbana nayo kipindi hiki
 
Mi huwa naachwa achwa sana mpaka nshazoea ila huwa haipiti miezi 2 sana sana mitatu wanarudi kwa spidi ya ajabu kuomba msamaha na ndio hapo inapokua too late.
 
Mi aliniacha halafu nilivyopata mwingine zaidi yake ikawa tabu eti turudiane basi na mie nishamringia mpaka leo na simpendi mpaka najishangaaa.nishajipatia tulizo langu sina shida mie aku!!!!!!!!1!1

unaonekana km vile bado unampenda hiyo njemba.........
 
Kuachwa kuachwaaa kuachwa ni SHUGHULI PEVUUUU...mbaya zaidi kwa yule ulompenda wewe una...........basi malizia kawimbo......
Mhhh me nishaacha 2,nkaachwa 2..ngoma draw..
1.alisema LIFE IS A GIGANTIC BOOK with many pages,explore it...uuh nlichoka...
2.Moyo unaniuma,japo nishamuomba msamaha,we r in good terms kiasi chake,nlimwambia 'am js not happy anymore'...skujua km ananpenda hadi after brkup dah,dunia hadaa...
3..hehehhehe KISANGAA,BAD NEWSS..alisepa kimya kimya af alikuwa handsome ajeee ka Van vicker,full intro kwa rafiki zangu,nlidata,KIDOGO LAKINI,am over t now..
4.na me nliishia zangu silently,kaja kunkuta tu sehemu na 'Toleo jipya' akawa speechless mana matunzo zero af alijiona siwezi muacha,....
Uhhh,i hope the next guy is my hubby mana mhh,mambo ya what's ur number siyataki mie
 
Back
Top Bottom