Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,099
- 1,701
Wakuu salaam...
Naishi uswazi..ile nyumba kubanana, milio ya mafeni usiku kucha na maredio. Kutokana na mishe zangu huwa inanilazimu kurudi home kati ya saa 7 usiku au 8usiku ndio naingia ndani.
Nawasha taa, kisha nafanya maandalizi ya kulala. Maana naishi peke yangu. Kutokana na mbanano wa nyumba na madirisha kutazamana ni rahisi kwa jirani kujua nimesharudi.
Dakika 10 hazitimii chumba ambacho natizamana nao madirisha naanza kusikia mlio wa paaaa paaa paaa paaa fokoo fokooo fokooo, huwa nahisi wanakuwaa wanagegedana.
Na leo muda mfupi ulio pita ni mara ya 3 hii.
Je wakuu, hawa raia wana maana gani? Au mimi nikirudi ndio nakuwa nimewazindua ama?
Mrejesho:Mpaka naamka muda huu sikufanikiwa kusikia chochote.
Namsikia mke wa jamaa hapo nje anamuambia mwenzake jamaa kasafiri kenda Pemba kwao.
Iko hivi;Mimi napenda sana watoto hivyo hata kitaa hapa ndio rafiki zangu wakubwa(japo ni hatari kwa huku Zenji)
Ikitokea siku nimerudi mapema huwa nakuja na pipi au biskuti za kutosha nawapatia kama zawadi(Zanzibar wanaita sadaka)
Sasa tabia hii imepelekea wamama kwa wadada kunipenda sana lakini nawakwepa sina namna maana huku ni hatari kugusa mwanamke,umzamishe geto utashangaa haoooo na majamvi Wametupia kanzu.
Sasa nahisi huyu jamaa Mpemba ana wasiwasi kuwa naweza pita na huyo wife wake.
Jamaa zamani tulikuwa tunasalimiana fresh,sikuhizi hakuna na nikimsalimia ananyamaza tuu mpaka nikaamua kuacha.
Naishi uswazi..ile nyumba kubanana, milio ya mafeni usiku kucha na maredio. Kutokana na mishe zangu huwa inanilazimu kurudi home kati ya saa 7 usiku au 8usiku ndio naingia ndani.
Nawasha taa, kisha nafanya maandalizi ya kulala. Maana naishi peke yangu. Kutokana na mbanano wa nyumba na madirisha kutazamana ni rahisi kwa jirani kujua nimesharudi.
Dakika 10 hazitimii chumba ambacho natizamana nao madirisha naanza kusikia mlio wa paaaa paaa paaa paaa fokoo fokooo fokooo, huwa nahisi wanakuwaa wanagegedana.
Na leo muda mfupi ulio pita ni mara ya 3 hii.
Je wakuu, hawa raia wana maana gani? Au mimi nikirudi ndio nakuwa nimewazindua ama?
Mrejesho:Mpaka naamka muda huu sikufanikiwa kusikia chochote.
Namsikia mke wa jamaa hapo nje anamuambia mwenzake jamaa kasafiri kenda Pemba kwao.
Iko hivi;Mimi napenda sana watoto hivyo hata kitaa hapa ndio rafiki zangu wakubwa(japo ni hatari kwa huku Zenji)
Ikitokea siku nimerudi mapema huwa nakuja na pipi au biskuti za kutosha nawapatia kama zawadi(Zanzibar wanaita sadaka)
Sasa tabia hii imepelekea wamama kwa wadada kunipenda sana lakini nawakwepa sina namna maana huku ni hatari kugusa mwanamke,umzamishe geto utashangaa haoooo na majamvi Wametupia kanzu.
Sasa nahisi huyu jamaa Mpemba ana wasiwasi kuwa naweza pita na huyo wife wake.
Jamaa zamani tulikuwa tunasalimiana fresh,sikuhizi hakuna na nikimsalimia ananyamaza tuu mpaka nikaamua kuacha.