ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,956
- 7,002
we naweee,hili jesh lina sera za kisasa???unaemdanganya hapa nani???nenda kaunta ya kituo chochote cha polis halaf niambie umekuta kuna desktop ngap?????uje tuambie hapa hata december mwaka huu uje useme umekuta walau desktop ngap???,na uingie ofis za wakuu wa vituo uniambie umekuta wakuu wangap wa vituo desktop zao zinafanya kaz na zipo connected na internet,,,,
Ndo maana nasema wewe una matatizo yako binafsi. Na huna taarifa sahihi. Kuna baadhi ya mikoa ambapo wako connected na wireless internet. Ni wewe kuwa na pasword unapata huduma ya mtandao kabisa.
Kama mkoani uliko hawajaunganishwa, usiseme ni mikoa yote. Nenda polisi mwanza pale hata smart phone itakupa alert za wireless internet