Mentor Jumatatu ya tarehe 12/05 au ni ipi? Uwe unaweka tarehe bwana. Sasa usije wacha watu kwenue mabalbu. Kwa hasira ile hakika kwa sasa ni lazima utakuwa boss mkubwa mahali kama si kule polisi. Bravo.
halafu kwa taarifa tu.polisi ni binadamu kama mwalimu.ingejua anachokufanya mwalimu aliekuchoka afadhar ya polisi.ungemjua daktar aliemtoa mimba mke wako ukiwa safarini ili dili zakukuibia zakukuibia ziendelee nafkir bora polisi.na hakimu alikyla rushwa kumuumiza mama yako kwenye mirathi kisa wewe nimtoto haram .afadhar polic.ungemjua IT alieiba picha chafu za dada yako na kuzipublish afadhar polis.polis ana mke anaemtaka atimize haja zake kama wewe.anatamani kma watu wengine polis ni binadam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.