Mimi ni Polisi: Kisa cha mke wa Waziri

Mimi ni Polisi: Kisa cha mke wa Waziri

acha mambo ya kesho,kama vp naimalizia mwenyewe,ngoja nidondoshe uzi saiv
 
Acha nami niimbe kidogo , Apigwe ee Amini apigwee*2
na ule wa kumalizia kufunga kambi wa Salama salama salama salama tumekuja salama na tutarudi salama au ule wa sifa ya afande Na Mentor ni komandoo lelelee ni komandoo na mentor ni komandoo lelelee ni komandoo*2
kweli nikikumbuka natamani turudi enzi za 70's acha tu jeshi kutam sana

Wewe jamaa wa 70s.. lakini unaandika pumb@ sana kwenye thread zako..
 
Huku nilipo kesho ishafika, haya hebu tupia huo muendelezo Mentor
 
Last edited by a moderator:
Jamaa huyu hapa zama mumuone! http://tz.linkedin.com/pub/dr-lukyaa-enos-rwamahe-robert-phd/36/a7a/927 Jamaa hakuridhika na elimu yake aliyoajiliwa nayo, ana PhD na bado anasoma MBA executive sasa hivi! Hongera afande najua mtu kama wewe lazima utakuwemo tu humu, kaza buti Dr. afande lukyaa!! Jamaa kapiga distance learning/online bachelor mpaka PhD!!
Mentor.......malizia leo ili tujifunze. Lkn nikependa ulivyoingia jeshini ukiwa form six leavers! Wapo watu hadi leo huamini ualim na jeshini hupokelewa waliokata tamaa ya maisha, walioshindwa! Kumbe kuna watu wenye cv babu kubwa wamo majeshini.

Siku moja niliona picha ya kumwaga kamanda barlow, maofisa waliokuwa wamebeba jeneza, yupo bonge mmoja kipindi hicho alikuwa ocd kwimba. Jamaa ni phd holder wa social justice toka makerere university

not makerere, ni chuo flani kikubwa sana USA, jina limenitoka kdg, nilibatika kuisoma kdg thesis yake inahusu masuala ya ugaidi
 
Back
Top Bottom