Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,430
- 8,913
I see.mkuu Ritz kala ban tayari, MODs wangepaswa kutupa sababu
I see.mkuu Ritz kala ban tayari, MODs wangepaswa kutupa sababu
Unajua ukizoea spoonfeending matatizo yake ndio haya. Sasa kama mwanachadema unakaa pembeni na kuanzakunyooshea vidole wwengine na ww kujiondoa basi haufai kuwa mwanachadema. Wanchadema siku zote ni wachapa kazi na wabunifu. Hapo ndipo pa kuthibitisha kuwa ww ni kamanda wa cdm. Komaaa mkuu.
Mim ni mwanaCHADEMA mzuri natokea Moshi Vijijini kata ya Uru Mashariki naishangaa CHADEMA kwani huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo CHADEMA haina viongozi wa chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha Mwasi Kaskazini wanamwita Dr. Maliboro.
Ndani ya kata nzima hakuna kiongozi yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii.
KAMA NIMEDANGANYA ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE HAPA
nashukuru kwa ushauri wenu likini nimeshindwa kuelewa unapomwambia mtu kama wewe ni mwanacchama chukua nafasi inashangaza yaani wanachama wanijipa uongozi wenyewe au huchaguliwa au kuteuliwa na viongozi wa juu? halafu mtu anapokuambia wasiliana na kiongozi wa juu au wa mkoa kwa kukutajia jina unapataje mawasiliano yake au mnafikiri kila mtu anajua jinsi ya kuwasiliana na kiongozi?au tuwekeeni namba za viongozi wa mikoa yote wazi halafu muone kama kuna mtu atakuja kulalamika humu
Hapa mkuu ni katika mtandao maarufu wa Jamii Forums, Hapa sio mahali pa kuwasilisha malalamiko ya wanachama wa vyama vya siasa, nakushauri uwaone viongozi wa chama chako uwaeleze haya.
Huu ni ushamba wa hali ya juu! Unashangaa nini kutokuwepo kiongozi wakati wewe upo na si kiongozi? Anza wewe halafu ndio ushangae wengine!!?
Mim ni mwanaCHADEMA mzuri natokea Moshi Vijijini kata ya Uru Mashariki naishangaa CHADEMA kwani huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo CHADEMA haina viongozi wa chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha Mwasi Kaskazini wanamwita Dr. Maliboro. Ndani ya kata nzima hakuna kiongozi yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii. KAMA NIMEDANGANYA ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE HAPAUmeanza lini kuwa mwanachadema? Unafiki mtupu! Kama wewe ni mwanachadema na kuna mambo hayakufurahishi tumia uhuru wako wa kikatiba hamia chama kingine unachoona kinafaa.
Mkuu una hasira!, hadi umemalizia na "pumbafu sana" .Hivi nyie wanachadema mkoje? Kila Siku mnapost threads za kuilalamikia CCM humu ndani ya jamvi, au CCM sio chama cha. Siasa? Achani unafiki. Kwanza mngemshukuru mtoa mada kwamba kawaamusha ktk baadhi ya maeneo hamjafika. Pumbafu sana
CHADEMA mnahitaji wanachama kama huyu aliyeanzisha hii thread, siyo hawa wachumia tumbo tuliowazoea hapa jamvini.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums