AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Mkuu makesy wewe ndiyo unatushangaza makamanda wenzio, M4C bolded kwenye falsafa ya mahtma ghandi ambaye aliamin kuwa CHANGE ni mimi na wewe, Kama viongozi hakuna basi hata ww unaweza kuwa kiongozi na ukatibu ukampa hata mke wako kwan si kosa maana ktk eneo hilo hakuna viongozi , baada ya hapo ndio fanya utaratibu kuwasiliana na viongozi wa chama hapo mfano kama Basil Lema.
Last edited by a moderator: