Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

walimu nyie!
ninawachukiaga sana, unakuta kosa halihitaji ata adhabu bali ni kumshauri tu mwanafunzi ila mnakimbilia kumchapa. ndo maana wengi wenu mnaishia kulalamika tu. Na kama mnamachungu na elimu sa kwanini mliishia kuwa walimu!
Ulivomalizia umeonesha PURE STUPIDITY !! yako
 
Wewe sio mwalimu unadanganya tu. Hayo yote uliyoeleza mwalimu hawezi kufanya . Mwalimu ni zaidi ya kufundisha, ni mlezi, tena anaweza kuwa mlezi mzuri kupita hata wazazi wa mtoto. Hapo (c) ndipo umeonesha usivyo na busara. Kama umekatwa 60,000/- bila maelezo linamhusu vipi mwanafunzi mkorofi. Ungeenda kwa mwajiri wako ukamkung'uta kwa kukukata 60,000/- bila maelezo hapo kidoogo ningekuelewa. Na najua hutathubutu kufanya hivyo kwani unajua kitakachokupata.
 
Mtawapiga haohao...mimi bado sijawa na mtoto wa kuja kufundishwa na wendawazimu kama nyie.
Akifikia huko nitampeleka shule za maana atakakofundishwa na sio kupigwa.
Hapo sawa, na uwe mzazi bora mlee mwanao katika misingi na maadili mema. Mwendawazimu ni yule aliyeshindwa kumlea mwanae wa kumzaa
 
Taifa limestushwa kwa kuchapwa
Makofi Mwanafunzi wa Mbeya
Day kuliko vifo vya Watafiti wa
kilimo kule Dodoma kwa
kuchomwa Moto wakidhaniwa
wanyonya damu.


Tukio la Mbeya limesahaulisha swala la Tetemeko la ardhi.



Mtoto mjinga anapaswa kula bakora hadi ujinga umtoke.
 
Mimi pia ni mwl wa malezi !! nahakikisha kuwa bikra ya mkeo mtarajiwa iko salama bado mnatutibua !!! CAN'T YOU CALCULATE THE RISK YOU PEOPLE?


Mkuu

Hongera sana kwa kuwanyoosha hao watoto... Wazazi tumeshindwa malezi, unakuta baba hawezi hata kumkemea mtoto.....

Nasema mtoto fedhuli kama yule dogo alistahili kuadhibiwa kifedhuli kama walivyomfanyia... Haiwezekani kulea ujinga ... mwisho tunazalisha Taifa la hovyo hovyo.
 
walimu nyie!
ninawachukiaga sana, unakuta kosa halihitaji ata adhabu bali ni kumshauri tu mwanafunzi ila mnakimbilia kumchapa. ndo maana wengi wenu mnaishia kulalamika tu. Na kama mnamachungu na elimu sa kwanini mliishia kuwa walimu!
Wanaofundisha vyuo vikuu sio walimu au unaimanisha wapiii??
 
waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani +ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA

Tumevurugwa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mshahara kukatwa ndio asira upeleke kwa mwanafjnzi, segerea itakuhusu
 
Juzi huko Kanda ya kati mtu kapelekwa mochwari akiwa hai watu mpo kimya huyu mwanafunzi kuzabwa tu vibao mapovu yajawatoooka, ndo shughuli ya watz kupigia kelele vitu visivo na kichwa wala miguu.....
Ingekua na ishu za maana tunashupaza shingo hivi tungekuwa mbali
 
mkuu count on me !!
sina mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi coz my wife is so beautiful !!
lakini suala la ukorofi naapa kulala nao mbele ( in magufuli's voice)
afadhair awe mjinga but anajiheshimu !! nawezs sema kazi ya Mungu haina makosa !!
Lakini mwanao popoma lakin korofi... hapana.
 
Evelyn Salt nimejipanga !! staki kutishika na mihemko ya watu humu !!

kipindi Fulani humu kila mtu alikuwa mchambuzi wa bombardier hata ambao hawajawai panda ndege!!
kete imetugeukia kila mtu anajua ethics za ualimu !!
Tz ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…