Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Yaani wewe unaona sawa na mihasira kudunda watoto wa wenzenu, kwani kama mnatabia hiyo mmelazimishwa kufundisha?
Mshahara umekatwa inabidi uende wizarani kulalamika na sio kwa kuumiza watoto.

Wewe ni hatari kea wanafunzi, ukijulikana utemwe tu ukatafute kazi ingine. Unatia aibu
 
Tulipomaliza masomo waliofeli wote ndio wakaenda ualimu sasa sijui unaongea nini? By the way walimu walionifundisha mimi wengi wao walikuwa timamu, hawakuwa na akili kama zako. Na nikikutana nao mpaka kesho wanakula lager za kutosha kisha wanaondoka na nauli ya taxi.
Unawadharau walimu namna hii, afu unampa/unabeba mimba ya mtu,unategegemea akuzalie mtoto ambaye utawapelekea walimu hawa unaowadharau wakufundishie mwanao, my friend mwanao akiwa kahaba/scorpion usije kuwalaumu walimu.
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
wewe utakuwa ni mwalimu wa UPE
 
Unatafuta kiki JF????? Unajigamba wewe ni mwalimu unayetunza bikira za watu!!! dah bangi mbaya mweeeh!
Ni kazi ya mwl wa malezi ku-maintain descipline shuleni !!
sasa nimedanganya nini hapo !! ilihali sijawai kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi!!!
 
Yaani wewe unaona sawa na mihasira kudunda watoto wa wenzenu, kwani kama mnatabia hiyo mmelazimishwa kufundisha?
Mshahara umekatwa inabidi uende wizarani kulalamika na sio kwa kuumiza watoto.

Wewe ni hatari kea wanafunzi, ukijulikana utemwe tu ukatafute kazi ingine. Unatia aibu
una uhakika nikipangiwa kazi nyingine ntapata? acha uchochezi mkuu!! napenda kazi yangu !!
 
Ni kweli, zama za kulazimishana kusoma zilipitaga enzi za nyerere. Mimi pia nilisoma na watukutu waliojipindia vibaya, lakini wakikanyaga eneo la shule ni discipline kwenda mbele, kwasababu ilikuwa ukileta ujinga Headmaster anampigia simu babaako aje kukuchukua usiwapotezee watu muda. Swala la academy ndio usiulize, muhula ukianza mwalimu anatoa syllabus na anakwambia vitabu gani usome. Hakukuwa na haja ya kupigana vibao kwasababu hukufanya homework, utajijua mwenyewe kwasababu end of the year ukiwa bellow 50% inabidi utafute shule nyingine. Kusoma ni hiyari, vijana wanatakiwa waeleweshwe umuhimu wake, sio kupigwa.
..adhabu za "kupiga" ziondolewe,kuwe na adhabu za kufukuza wanafunzi hii itasaidia gharama za "Elimu Bure" kuwa ndogo.
 
Angalia mwaka wa kuzaliwa kwenye profile then njoo hapa na UPE yako hiyo!! kama unajua Sera ya Universal Primary Education ilianza lini na kuisha lini then you suit to be my student!!
 
Unawadharau walimu namna hii, afu unampa/unabeba mimba ya mtu,unategegemea akuzalie mtoto ambaye utawapelekea walimu hawa unaowadharau wakufundishie mwanao, my friend mwanao akiwa kahaba/scorpion usije kuwalaumu walimu.


Naona umedandia trekta kwa mbele tu, hujui hii conversation ilipoanzia. Nakushauri urudi kuanzia post number 1 utaelewa nilikuwa nina maana gani kusema hivi. Mwanao akiwa kahaba au jambazi hakuna wa kulaumiwa kwasababu kila mtu mzima mwenye akili timamu ana uwezo wa kuchagua aina ya maisha yanayomfaa.
 
In case of anyone regardless of his/her position has tortured my kids, Am gonna deal with him/her horizontally on top of him with his/her back against the gravity.To me, Kindness is very limited factor when confronting SHENZI TYPE OF PEOPLE.
If you are a Torturer by professional, You better apply for the post in IS, Bokko haram or in any other familiar stupid groups where you will be free to exercise your anger and not into our educational institutes.
 
kuandika honourable tu huwezi, ninamashaka na chuo ulichosomea huo ualimu. walimu wa UPE bhana!


Ni mwalimu wa kiingereza huyo. Kujiongeza hawataki kazi kuwatolea hasira za maisha yao watoto wa watu.
 
Naona umedandia trekta kwa mbele tu, hujui hii conversation ilipoanzia. Nakushauri urudi kuanzia post number 1 utaelewa nilikuwa nina maana gani kusema hivi. Mwanao akiwa kahaba au jambazi hakuna wa kulaumiwa kwasababu kila mtu mzima mwenye akili timamu ana uwezo wa kuchagua aina ya maisha yanayomfaa.
Nilikua sijaona status yako, kumbe nawe ndo walewale baba/mama nunda mtoto nundas
 
..adhabu za "kupiga" ziondolewe,kuwe na adhabu za kufukuza wanafunzi hii itasaidia gharama za "Elimu Bure" kuwa ndogo.


Kweli, ukiwaandaa watoto kisaikolojia wanaweza kuwa na discipline ya kutosha na wakafanya vizuri kwenye masomo.
 
In case of anyone regardless of his/her position has tortured my kids, Am gonna deal with him/her horizontally on top of him with his/her back against the gravity.To me, Kindness is very limited factor when confronting SHENZI TYPE OF PEOPLE.
If you are a Torturer by professional, You better apply for the post in IS, Bokko haram or in any other familiar stupid groups where you will be free to exercise your anger and not into our educational institutes.
Good for you if and only if you are a diaspora !! if you reside in this God forsaken kind of country then you are as good as dead !!
 
ukifika we gonga tano na madogo maisha yasonge kwanza kuchapa unapoteza carroriez nying sana unakunja ndita kutwa zima
 
Back
Top Bottom