Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Hapana mkuu,kwa maelezo aliyatoa ni dhahiri ni Mwalimu.Tena mwalim wa malezi I(descpline master).Wanafunzi wanaonza mapenzi na wenzao darasani ni wapuuzi hasa wa kiume.Sasa dawa yao ni kufukuza tu wakakae na wazazi wao maana wanatia hasira.Wakidundwa jamii inakuja juu lakini wazazi wamekosa kuwapa malezi mazuri nyumbani mzigo unabaki kwa walim
mkuu Mimi ni mwalimu wa sekondary nafanya kazi na watoto wanaobarehe !! wanaviburi hatari !!

ninachofanya Mimi ni kukata ujinga !!
 
Hapo kwenye red ndio point yangu tangu mwanzo wa topic hii. Nimesema saikolojia ndio inaleta discipline mahali popote, mwanafunzi akishajua nikileta upumbavu narudi nyumbani lazima asome. Sasa hawa wanaojiita walimu humu JF ni chenga tu. Hawajui jinsi ya kutatua matatizo kwenye kazi zao.
Mkuu PAGAN waalimu ni binadamu, mimi mtoto hawezi kuleta dharau ya kiwango cha lami huku wenzake wanaona halafu useme niwe mpole !!

Action utakayochukua instantly ita-affect nidhamu ya wale waliobaki.
sasa mwlm kuwa mpole watoto watakuchapa makofi !!!
Ungekuwa mwalimu nikushauri ukafundishe shule ya sek. Nyakato Musoma, enzi hizo ilikuwa imejaa watoto watukutu wa kundi la kihuni " mbio za Vijiti"
Then, ungeleta mrejesho.
usidhani kwamba sina huruma kiasi hicho!! Nurture builds.
 
Hahahaa kweli watu mmevurugwa, muwe makini msije ozea jera mkaacha familia zenu zinasumbuka kisa misifa ya kumlekebisha mtoto aliyeshindwa na wazazi waliomleta duniani.
mkuu jela huwa ni matokeo !! me dogo akileta ujinnga huwa nawaza utu wangu kwanza !! mwanafunzi hata nikiwa namchapa akashika fimbo hiyo kwangu ni jinai.
 
Mkuu PAGAN waalimu ni binadamu, mimi mtoto hawezi kuleta dharau ya kiwango cha lami huku wenzake wanaona halafu useme niwe mpole !!

Action utakayochukua instantly ita-affect nidhamu ya wale waliobaki.
sasa mwlm kuwa mpole watoto watakuchapa makofi !!!
Ungekuwa mwalimu nikushauri ukafundishe shule ya sek. Nyakato Musoma, enzi hizo ilikuwa imejaa watoto watukutu wa kundi la kihuni " mbio za Vijiti"
Then, ungeleta mrejesho.
usidhani kwamba sina huruma kiasi hicho!! Nurture builds.


Mkuu nilishasema tunatofautiana mitazamo ya maisha. Wishing you great success with your role. [HASHTAG]#Goodluck[/HASHTAG]!! Good luck with the job you're doing. I hope it works out great! It's been a real pleasure. ASANTE.
 
Mkuu nilishasema tunatofautiana mitazamo ya maisha. Wishing you great success with your role. [HASHTAG]#Goodluck[/HASHTAG]!! Good luck with the job you're doing. I hope it works out great! It's been a real pleasure. ASANTE.
That's very good !!
 
Umeishakuja shule, lazima uwe mwanafunzi.

Habari ya kuanza kujitutumua kisa umeanza kuwa na kijibesi, ntakuvunja dunia yote inilaumu.

Mwanafunzi unapiga ngumi mwalimu!!!!!!!!, mwalimu what!!!!! Aisee ..........
 
Hapo kwenye red ndio point yangu tangu mwanzo wa topic hii. Nimesema saikolojia ndio inaleta discipline mahali popote, mwanafunzi akishajua nikileta upumbavu narudi nyumbani lazima asome. Sasa hawa wanaojiita walimu humu JF ni chenga tu. Hawajui jinsi ya kutatua matatizo kwenye kazi zao.
Yah ni kweli mkuu, mara fulani huruma inakujia kama mwalimu na mlezi na hasa unapofikiria future ya mtoto baada ya kufukuzwa shule hasa hawa wa vijijini ambao wazazi wao hawana kipato cha kuwasomeshea shule za binafsi,ndio unaamua kumpa kipondo kisha arudi darasani.Matokeo yake ndio hayo,jamii haikubali ingawa kwa kipigo cha walimu wa Mbeya sikiungi mkono
 
Umeishakuja shule, lazima uwe mwanafunzi.

Habari ya kuanza kujitutumua kisa umeanza kuwa na kijibesi, ntakuvunja dunia yote inilaumu.

Mwanafunzi unapiga ngumi mwalimu!!!!!!!!, mwalimu what!!!!! Aisee ..........
Mi nilishasema hata ashuke malaika badala ya kuzima mitandao ya kijamii aamue kunikanya, kama mtoto hana adabu atapigwa tu !!
 
Kwa kumpiga vile?Nitakuua wewe.
Kama ni mtukutu muache ni wangu.
kaa nae huko huko kama ni wako.sasa hivi hatuweki kamera on.kazi ndo imeanza yule kapapaswa au kutomaswa tuu.shughuli yaja dadeki
 
Tunataka walimu kama wewe ambao mnatoa dozi mpaka mtoto anakuwa na maadili kwanza hamna mwalimu kichaa wa kupiga mwanafunzi bila kosa halafu kama mzazi analialia na mwanae mpeni mtoto wake wakafundishane Visingeli kwake ili walaumiane wenyewe badae na asiombe ushauri kuwa mwanangu kabadilika sana siku hizi sijui nifanyaje..
 
Tunataka walimu kama wewe ambao mnatoa dozi mpaka mtoto anakuwa na maadili kwanza hamna mwalimu kichaa wa kupiga mwanafunzi bila kosa halafu kama mzazi analialia na mwanae mpeni mtoto wake wakafundishane Visingeli kwake ili walaumiane wenyewe badae na asiombe ushauri kuwa mwanangu kabadilika sana siku hizi sijui nifanyaje..
mkuu umemaliza yote ! watu wanakurupuka kuwaatack walimu bila fikra. Mi ntawatwanga tu, maana hamna mamna sasa !
 
kaa nae huko huko kama ni wako.sasa hivi hatuweki kamera on.kazi ndo imeanza yule kapapaswa au kutomaswa tuu.shughuli yaja dadeki
Mtawapiga haohao...mimi bado sijawa na mtoto wa kuja kufundishwa na wendawazimu kama nyie.
Akifikia huko nitampeleka shule za maana atakakofundishwa na sio kupigwa.
 
Nyie mnaolalamikia walimu kwan kuna haja ya kuwapeleka watoto wenu shule kwa hao walim, waachen watoto wenu nyumban mtawafundisha wenyew, hata nyinyi c mmesoma hayo masomo!!!!
Kweli mkuu km vp wakae na watoto wao nyumbani wawafundishe,unakuta mtu analalamika hata table ya pili hawezi!!!
 
Back
Top Bottom