Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Kweli, ukiwaandaa watoto kisaikolojia wanaweza kuwa na discipline ya kutosha na wakafanya vizuri kwenye masomo.
watukutu huwa ni wale wasiopenda kusoma,waachwe waende wanakotaka
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Na wewe unajiita mwalimu. Rudi shule kwanza, usiichafue taaluma ya elimu na ukurya wako. Kwenda kule
 
Unaona mwenyewe sababu ulizotoa mashiko less
 
Lile toto lifukuzwe shule kabisa. Hakina faida ningelivunja miguu mimi.
Yani unanidindia mbele ya darasa mburaaaaaa...
 
mpaka kieleweke !!
make naona Msako wa Mwl Frank ni mkubwa Kuliko LUGUMI
Mkuu moghasa hasira uliyonayo wewe ni kiduchu sana, mimi toka jana nimelala tu ndani sijatoka nina hasiraaaaa hata kazi sijaenda makusudii kabsa!

kinachojengwa na kinachotafutwa na serikali hii kwa walimu muda si mrefu watakivuna!

Uadui na uhasama unaojengwa kwa walimu vs wanafunzi mtashuhudia muda sio mrefu mtu ameliwa nyama badalaya hivyo vikofi viwili mnavyovipigia kelele as if kuna mauaji ya halaiki yamefanyika!

wait & see,
 
Nyie mnaolalamikia walimu kwan kuna haja ya kuwapeleka watoto wenu shule kwa hao walim, waachen watoto wenu nyumban mtawafundisha wenyew, hata nyinyi c mmesoma hayo masomo!!!!


Double standards, na walimu kama hawawezi ku-deal na watoto wakae nyumbani wafanye mazoezi ya ubondia.
 
Tulipomaliza masomo waliofeli wote ndio wakaenda ualimu sasa sijui unaongea nini? By the way walimu walionifundisha mimi wengi wao walikuwa timamu, hawakuwa na akili kama zako. Na nikikutana nao mpaka kesho wanakula lager za kutosha kisha wanaondoka na nauli ya taxi.
Af hii dhana hii!
 
Wanafunz wa kitanzania Kama hawatabadili tabia , na kufuata sheria za shule bila shuruti vipigo vitaendelea kuwashukia kila uchao

Maana walimu sio maroboti kwamba hawana emotions kama binadamu wengine.

ujinga wa kusema ualimu ni wito ulishapitwa na wakati
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Naona nawewe unataka kufukuzwa kama kweli wewe ni mwalimu!!!! Mtoto akijitetea sio kwamba ana kiburi anajitetea. Angalia kama utetezi wake ni wa uongo ndipo uchukue hatua. Tena tumeambiwa kumbe sheria ni viboko vitatu tu!! Nyie mbona mnawapiga lundo la viboko!!! Big up Prof. Ndalichako, Mwigulu na Simbachawene. Fukuza tu hawa wanaopiga watoto! Wanapiga utafikiri wako vitani nao. Si muende Syria mkawapige ISIS!!!! Tutawasifia sana na kuwapa hongera. Waacheni watoto wetu!!!! Mwite mzazi wake sio kuwapiga hivyo.
 
Mkuu moghasa hasira uliyonayo wewe ni kiduchu sana, mimi toka jana nimelala tu ndani sijatoka nina hasiraaaaa hata kazi sijaenda makusudii kabsa!

kinachojengwa na kinachotafutwa na serikali hii kwa walimu muda si mrefu watakivuna!

Uadui na uhasama unaojengwa kwa walimu vs wanafunzi mtashuhudia muda sio mrefu mtu ameliwa nyama badalaya hivyo vikofi viwili mnavyovipigia kelele as if kuna mauaji ya halaiki yamefanyika!

wait & see,
Mkuu tena mtoto asijichanganye kipindi hiki ambacho waalimu tunasimangwa !!

Hasira za Bomberdier kuitwa [HASHTAG]#pangaboi[/HASHTAG] serikali inahamishia kwetu !!
Anyway nisiongee mengi!!!
 
Back
Top Bottom