Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

We unapaweza celebrities kwa kina diamond na kiba tu huku sio kwako mama tukutane kwenye thread ya diamond

Hahaaaaa haya weeee

Naona mnanikazania na kazi yangu ya kushinda kibarazani napiga udaku
 
We kuchaguliwa hutaki ila unachagulia wenzio!! Kakushauri tu, tena ni ushauri wa msingi mno uchukue utakusaidia.

Mimi mpiga udaku kibarazani

Sijakataza mtu kunichagulia kazi ati mieila walimu aaaagh lazima kuwaambia ukweli.

Maisha ya humu JF mie mswazi niliyekomaa kwani ndio habari...kama nyie walimu poa.

Karibu kibarazani tupige udaku ktk maisha ya nje ya JF...ndio mlo ndio maisha.
 
we binti usinipotezee muda umeanza mipasho tena!! mi ni mwanaume we saiz yako mzurimie sio mimi !! kuwa nesi ndo unahisi umemaliza au umesahau ulishawahi kuni-PM

Yesu na Maria

Sasa umeumia kiasi cha kuandika uongo hii kali...mnakuja kwrnyr forum yanawashinda...sasa kusema eti mie nesi nimechati na wewe umekosea sababu mimi na harufu ya hospitali ni kama sijui nini....pole zako hiloooooooooo na bado

Njoo kibarazani upige udaku, kufundisha achia wengine na muache kupoteza muda wa wanafunzi na kumaliza na mi ziro tu wafundisheni.
 
Ni kweli, zama za kulazimishana kusoma zilipitaga enzi za nyerere. Mimi pia nilisoma na watukutu waliojipindia vibaya, lakini wakikanyaga eneo la shule ni discipline kwenda mbele, kwasababu ilikuwa ukileta ujinga Headmaster anampigia simu babaako aje kukuchukua usiwapotezee watu muda. Swala la academy ndio usiulize, muhula ukianza mwalimu anatoa syllabus na anakwambia vitabu gani usome. Hakukuwa na haja ya kupigana vibao kwasababu hukufanya homework, utajijua mwenyewe kwasababu end of the year ukiwa bellow 50% inabidi utafute shule nyingine. Kusoma ni hiyari, vijana wanatakiwa waeleweshwe umuhimu wake, sio kupigwa.
Hiyo seminary. Wenzio wanaongelea Kayumba
 
Anachosema Mwalimu ni sahihi kabisa naunga mkono hoja yake, mimi nimesoma shule ya kata kipindi nasoma yaani kuna wanafunzi huwa wanawasumbua waalimu sana, utakuta mwanafunzi anatoroka shule kwa kuruka ukuta, exercise za darasani hafanyi, muda wa kusoma yeye makelele tu, ugomvi kwa wanafunzi wenzake kwake tunzo, anaweza kupewa adhabu ndogo tu lakin akatunisha misuli ili aonekane jabali, wanafunzi kama hawa ni halali kabisa kukutana na akina Mwl. Frank
 
Yaani huyu Mwl. Frank kawa maarufu ghafla kuliko hata wale walioiba maburungutu ya pesa pale Bandarini.
Ama kweli hii ni Tanzania ya MWENDOKASI
 
Nikutoe tu mashaka na Akili uliyo jiwekea Make uh just putting yourself in troubles

Naweza sema kitu kimoja Ambacho ukielewe ..kwanza cjui kama kweli wew ni Mwalimu.. pili walimu ni wito hakuna aliye kulazimisha. na kwatafsir tuliyonayo hapa tanzania juu ya walimu ni Watu walio kosa option Katika elimu zao na kuangukia kwenye tasnia ya Elimu...ila sio kwa wote wenye mawazo ayo.

tatu... either umeona mtu ame post kwenye magroup na wew ukaona ufanye copy and past i dont know make aya nihusu

Point yangu ni kwamba.. Wew ni mwalimu Let say mm ni mwanafunzi wako unapotaka kuni Adhibu kwa sheria na taratibu za shele hakuna mwanafunzi Atakaye kaidi hiyo ni kwa 95% make hata sis tu wai kua wanafunz

Ninapo kosea na unataka uni Adhibu nitakuba lakin Eti Kisa Wew kuna mwalimu wakike unamfukuzia au unampenda / unamahusiano na unataka uoneshe uana ume wako kupitia mim badala ya mkiwa falagha...

Mm nacho weza kusema Mtanifukuza shule hasira za mishahara sijui makato Au familia uwezi kuniletea Mm I swear to God badala Ya mwalimu kutafuta nita tafutwa mim...

HATA shule niliyo kuwa na Somea Walimu walinitambua vizuri Nitakapo simamia haki yangu Aiseeee Ni bora ukamuita mzazi kuliko kutumia nguvu... make nitakupasua Afu nanyie amkurupukagi mnaangaliaga kwanza background ya mwanafunz eti kisa mpole.... Mim second master mwenyewe alileta ujuaji zaidi kuliko sheria na kusimamia haki alijuta kwann alitenda vile mbele ya pared
 
Nikutoe tu mashaka na Akili uliyo jiwekea Make uh just putting yourself in troubles

Naweza sema kitu kimoja Ambacho ukielewe ..kwanza cjui kama kweli wew ni Mwalimu.. pili walimu ni wito hakuna aliye kulazimisha. na kwatafsir tuliyonayo hapa tanzania juu ya walimu ni Watu walio kosa option Katika elimu zao na kuangukia kwenye tasnia ya Elimu...ila sio kwa wote wenye mawazo ayo.

tatu... either umeona mtu ame post kwenye magroup na wew ukaona ufanye copy and past i dont know make aya nihusu

Point yangu ni kwamba.. Wew ni mwalimu Let say mm ni mwanafunzi wako unapotaka kuni Adhibu kwa sheria na taratibu za shele hakuna mwanafunzi Atakaye kaidi hiyo ni kwa 95% make hata sis tu wai kua wanafunz

Ninapo kosea na unataka uni Adhibu nitakuba lakin Eti Kisa Wew kuna mwalimu wakike unamfukuzia au unampenda / unamahusiano na unataka uoneshe uana ume wako kupitia mim badala ya mkiwa falagha...

Mm nacho weza kusema Mtanifukuza shule hasira za mishahara sijui makato Au familia uwezi kuniletea Mm I swear to God badala Ya mwalimu kutafuta nita tafutwa mim...

HATA shule niliyo kuwa na Somea Walimu walinitambua vizuri Nitakapo simamia haki yangu Aiseeee Ni bora ukamuita mzazi kuliko kutumia nguvu... make nitakupasua Afu nanyie amkurupukagi mnaangaliaga kwanza background ya mwanafunz eti kisa mpole.... Mim second master mwenyewe alileta ujuaji zaidi kuliko sheria na kusimamia haki alijuta kwann alitenda vile mbele ya pared
Never dare again juxtapose yur second master and I, we are quite different !! scrutinize my words above then digest as it is!!
To me a decadent child suffers his/her own fate.
reply it and show your temerity!!
 
Back
Top Bottom