Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Wawalee watoto wao kabla hawajatuletea murder case, maisha yenyewe stress alafu eti mtoto wa mtu nae aniletee stress!! Nawaza pesa mie siwazi toto la mtu liloshindikana.
Kabisa.
Mzazi anayeelewa nini maana na umuhimu wa elimu sidhani kama atakuwa na tatizo na sisi.
Wapo wazazi wasiosoma lakini anakwambia kabisa kuwa, yeye hajasoma ila anataka mtoto wake asome ili amsomee barua na magazeti nyumbani pamoja na kuleta heshima ktk familia.
Ila kuna wale kundi la ISIS sasa, wako kama ma-mumiani.
Hawaeleweki wanachotaka.
Kusoma hawajasoma, ubishi ubishi tu.
Kuleta ujuaji, ila akisikia faini ya kulipa kwa uzembe, uso wake sasa unavyomshuka, kama punda anachungulia kisimani.
 
Ndo maana. Niligombana na wazazi wangu wakinilazimisha kusoma ualimu,, polen walimu ,,makato, posho zenu ni shikamoo!! Kebeh, dharau nk!! Polen sana
 
Kwanini tanzania walimu wanadharauliwa sana ila ipo siku tu
 
kipindi na fundisha niliwahi kutana na changamoto moja sito isahau jamani!!!!

kuna watoto wakorofi lakini basi tu!!! kuna mtoto wa kidato cha tatu alimpiga tofali mwalimu la kichwa mpaka leo huwa anapoteza poteza kumbukumbu alafu kisa mwalim kamkamata mtoto ametoroka yuko kwenye PS

chaajabu mwanafunzi aliamishiwa shule ingine!!!!!
 
Wazazi wameshindwa kulea watoto ....... Baba hawezi kumkemea mtoto.... Ukifika nyumbani unashindwa kutofautisha mtoto na mzazi...


Hii mitoto ikifika shule inaleta ujinga ule ile wa nyumbani kwao. .... Hapo ni kumtwanga kichwa kimoja cha pua amwage kisusio.
 
Mambo kama haya ndo usimvunje mtoto wa mtu kiuno?
Kuniharibu ubongo na kumbukumbu zangu?
Mbona nitazaa na huyo mwanafunzi watoto mapacha.
 
Wapasuke kabisa, wasimamie malezi ya watoto wao waone kama kutakuwa na tatizo, yaani mitoto imekubuhu, toto hadi jela lishafungwa, alafu eti mtu anakuja kumtukana mwalimu!!!
Kuna wazazi wanakasirika watoto wake wakifunga shule ... Anajua balaa na laana imekuja nyuma


Leo hii wanakaza mpaka mshipa wa t@k0 kumtetea mtoto fedhuli aliyenyooshwa ili ufedhuli umtoke
 
Kulea kwenyewe wameshindwa wameachiwa bibi na babu, wao wanatembeza mbegu tu, sasa basi kama mbwai na iwe mbwai.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kuna kesi moja ya bibi alikuwa anaishi na mjukuu wake wa kiume...... Siku moja usiku mjukuu kaja akavunja mlango akamalala bibi yake. .


Bibi yake badala ya kwenda Polisi alienda kushtaki shule...... Na dogo aliitwa na akakiri.

Alipewa kichapo kitakatifu alitubu dhambi zake zote
 
Kulea kwenyewe wameshindwa wameachiwa bibi na babu, wao wanatembeza mbegu tu, sasa basi kama mbwai na iwe mbwai.
Habari ndo hiyo, wakimwaga mboga, sie tunamwaga ugali na kubinua kabisa mkeka na maji ya kunawa tunaoshea nywele.
Mabibi wenyewe walivyo wabishi basi.
Ila tunakomaa nao hivo hivo, hawataki....wahame shule, wahamie jela
 
We pata taswira vizuri kabisa ili ukazane kwenye malezi ya mwanao la sivyo.........
kubembelezana no more.
Hamna shukrani alafu mnategemea nini!!!
 
Huyo bibi nae kataka, alikuwa na ugwadu wake.
Unalalaje na mjukuu wako aliye katika balekhe kali?
Yaani unajikuta tu hakimu wa kesi za majumbani
 
Ni heri primary unakua unapigiwa kelele na watoto, kuliko hizi ngedere ambazo zikiota vooz zinajiona zimekua, yani mtoto anakudindia utadhani anakupandaga shwain
Hii ndio ya kuinyoosha vizuri. .


Ila nawashauri kila shule itenge chumba cha kuwaadhibia watoto jeuri na kibr... Hapo kusiwepo na waalim masnicth kama yule dem aliyerokodi.


Hapo mnamfua kimya kimya. Akitoka hapo amenyooka
 
Ayaaaaaa!!! Sasa toto la hivyo eti nalo libembelezwe!!
Wasinipe moto mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…