Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Lah waalimu kama hawa ndiyo nawahitaji sana kwenye shule yangu ninaajili waalimu waliopitia jeshi la magereza maana wanafunzi wa sasa wanatumwa na wazazi wao nimeona elimu ya sasa imehalibiwa na wanasiasa
Haiingii akilini maafa ya Bukoba mawazili hawajaenda halafu mawazili wanashupalia kupigwa kwa mtoto mtundu
 
Tena wapige kimya kabisa, wasilete za kulete.
Kwanza Academy ziko kibao, wakwendreeee huko wakasome.
Wasitake kutupanda vichwani.
Laana za koo zao, wasituletee sisi
 
Yaani kuna muda huwa natamani ningekuwa mwalimu wa primary maana sekondari khaaaaaaah!!!
Tatizo Secondary wote tunanyoa, si walimu si wanafunzi, hivo wanaona wameshakua.
Na wengine wameshaanza kupumuliana basi wanaona wote tuko sawa.
Mie nilianza na Primary, la saba ndo wanajitia manunda wa shule.
Kuwanyoosha kama rula ndo dawa yao
 
Afu kutwa oooohhhh, tunakagua vyeti ili kuangalia taaluma ya mwalimu.
Wizara badilikeni.
Mange kule anasema kila siku, kuna shule hazina hata hadhi ya kuitwa shule maana kama mapori tu.
Matokeo mazuri ya kwao, mabaya ya kwetu.
Ngoja tufate slogana yao, .....wataisoma
 
Ili kujiepusha na majanga bora walimu hata msiwe mna wachapa hawa wanafunzi hata kama amekosea, maana hata akifeli maisha si ya kwake, akikua baadae ndio atajua umuhimu wa shule, Jeuri muache na ujeuri wake, haya mnachapa wanafunzi haraf unafukuzwa kazi umepata faidi gani? Maisha yenyewe yalivyo magumu.
 
Reactions: Auz

Unaweza kumfundisha mtoto asiye kusikia???....
 
Hongera, kumbe umesoma enzi ya baba kupigiwa simu. Sisi hakukuwaga na hiyo simu.
 
Mwalimu una chura af full mibano miksa min dent denda hiloo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tena wapige kimya kabisa, wasilete za kulete.
Kwanza Academy ziko kibao, wakwendreeee huko wakasome.
Wasitake kutupanda vichwani.
Laana za koo zao, wasituletee sisi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwani huko academy wanakwenda kufundishwa na malaika!? Si ndio sisi sisi tuliofeli? Niliwahi kufundisha academy for 1year, kule raha maana unatimua tu, sasa huku kwa wanasiasa eti tunabembelezana tu, hovyo kweli.
 
Tatizo Secondary wote tunanyoa, si walimu si wanafunzi, hivo wanaona wameshakua.
Na wengine wameshaanza kupumuliana basi wanaona wote tuko sawa.
Mie nilianza na Primary, la saba ndo wanajitia manunda wa shule.
Kuwanyoosha kama rula ndo dawa yao
Yanawatoka tu ila laiti wangejua, hivi kuna kada inaongoza kwa kukimbiwa kama hii? Hawajiulizi ni kwa nini?
Tutaelewa na tu mdogo mdogo.
 
Unikabe au unitukane then nikuangalie tu, pigeni kelele sheria ya kutimua shule mitoto mitukutu irahisishwe, ili tuwaletee mkae nayo wenyewe mtuache tupumue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…