Kabisa.Tumeingia kwenye top ten ya wiki hii
Nimeipenda hiyo ya mbele!!
Sawa sawa, mwalimu ndiye babako/mamako, uncle/aunt hata Babu.....Umeishakuja shule, lazima uwe mwanafunzi.
Habari ya kuanza kujitutumua kisa umeanza kuwa na kijibesi, ntakuvunja dunia yote inilaumu.
Mwanafunzi unapiga ngumi mwalimu!!!!!!!!, mwalimu what!!!!! Aisee ..........
Mkuu tunaomba utimize ulichoambiwa na mtoa mada,yani tunaomba ile post yako ije kwa kiingereza tafadhali sananyie vijiwalimu vya BRN tabu sana...
kufundisha hamjui, adabu hamna, kiingereza hamuwezi...
mnachoweza ni kuvaa milegezo na kupaka poda tu.
ndio maana wanafunzi wanawadharau, ... mnacho deliver madarasani ni hovyo hovyo ....
kiama chenu kimefika, mtaendelea kunyooshwa mpaka mtajuta kuwa waalimu.
Yes, kama unaona mwanao malaika kaa nae home umfundisheTunataka walimu kama wewe ambao mnatoa dozi mpaka mtoto anakuwa na maadili kwanza hamna mwalimu kichaa wa kupiga mwanafunzi bila kosa halafu kama mzazi analialia na mwanae mpeni mtoto wake wakafundishane Visingeli kwake ili walaumiane wenyewe badae na asiombe ushauri kuwa mwanangu kabadilika sana siku hizi sijui nifanyaje..
Hata kama post aliyotoa akiiacha aje na comment nyingine kwa kiingereza nimnyooshe johnson mekiMkuu tunaomba utimize ulichoambiwa na mtoa mada,yani tunaomba ile post yako ije kwa kiingereza tafadhali sana
Halafu kweli!!! Watafiti mawaziri hawajalisemea hivyo[emoji134]Taifa limestushwa kwa kuchapwa
Makofi Mwanafunzi wa Mbeya
Day kuliko vifo vya Watafiti wa
kilimo kule Dodoma kwa
kuchomwa Moto wakidhaniwa
wanyonya damu.
Tukio la Mbeya limesahaulisha swala la Tetemeko la ardhi.
Mtoto mjinga anapaswa kula bakora hadi ujinga umtoke.
Kila mzazi achukue mwanae wakae home wafundishwe nyumbani...Kabisa.
Hata wasemeje, bakora ziko palepale.
Hawataki, wawahamishe shule.
Mtoto wako aniletee ujinga?...bakora tu na mateke mpaka anyooke, maana hamna namna.
Point!!!.....au kisa haijarushwa wasap!Juzi huko Kanda ya kati mtu kapelekwa mochwari akiwa hai watu mpo kimya huyu mwanafunzi kuzabwa tu vibao mapovu yajawatoooka, ndo shughuli ya watz kupigia kelele vitu visivo na kichwa wala miguu.....
Ingekua na ishu za maana tunashupaza shingo hivi tungekuwa mbali
[emoji23] lilimlavu Madam[emoji23] [emoji125]Mi nimekuelewa vema na ninaelewa pia.....
Juzi juzi hapa kuna mitoto kama sita ilimfata mwalimu nyumbani kwake ikataka kumpiga eti wamepigwa viboko vinne vinne wapo shule adhabu nyingine wanasubiri bodi ya shule ikae huu si usengerema.
Kuna nyang'au jingine nililichapa baada ya hapo likaubusu mkono nilitamani kupasuka kwa hasira ilibidi nirudi kulala.
Mie kwenye hii ishu sioni cha ajabu wala
Njoo uchukueNimeipenda hiyo ya mbele!!
Mwalimu Frank kifungu cha kujitetea!Siasa ndio inaharibu sana jamii, hivi yule amkubwa alieamrisha WAPIGWE tu alibainisha umri? Alisisitiza kuwa kila avunjaye sheria na APIGWE maana hakuna namna, mwalimu katimiza. Viongozi wanapoongea jambo wajifunze kujitafakari si kuropoka tu.
Watz kwa kupigia kelele vitu vya kijinga ndo wenyewePoint!!!.....au kisa haijarushwa wasap!
Nashangaa.Kila mzazi achukue mwanae wakae home wafundishwe nyumbani...
Masomo yenyewe mbona rahisi tu kingereza, kiswahili, hesabu kwani kuna mzazi asiejua haya masomo 😀
China wamezindua treni ya umeme Ipitayo hewani.Watz kwa kupigia kelele vitu vya kijinga ndo wenyewe
Ndicho wazazi wao wanatetea hapaNina mshkaji wangu mwalim,tulikuwa tumepanga nyumba moja sasa siku moja amerudi home kavimba vimba uso nikamuuliza vipi umepata ajali? mwanzo akanificha lkn baadae alipotulia akaniambia wanafunzi hao wamemkongoli, dah ilibidi nicheke tu kwa huruma
[emoji106]Kazi ya ualimu ni ngumu sana na kwasasa naona dalili zote za ugumu kuongezeka na mmomonyoko wa maadili kuongezeka .Sasa hivi zaidi ya asilimia 80% ya malezi ya watoto wetu yanarekebishwa shuleni au kuharibikia shuleni. Wazazi hatukai na watoto wetu, tunawapeleka boarding schools toka chekechea na hata wakija likizo hatuongei nao muda wote tupo busy na kazi na maisha. Waliopo day nao hatushindi nao hata weekend tupo busy na mambo mengine ya dunia. NITAKUSHANGAA SANA WEWE UNAYEBEZA WALIMU WETU.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Asanteni sana walimu kwa vipigo vyenu kwa kiasi fulani vimenifanya niwe hivi vinginevyo huenda ningekuwa kwenye hali mbaya sana ingawa kipindi hicho nilikuwa nawachukia sana