Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,978
- 5,417
Well said mamy.....Protein njoo my ndugu. Ninakupenda na ninakuombea Mungu akutie nguvu. Kila nikiwa na ujauzito nikipimwa HIV huwa ninamwambia mme wangu "Hata walio positive kuna kipindi walikuwa negative"Hivyo tuishi maisha ya uaminifu na kumwogopa Mungu. Njoo utupe madini zaidi nina uhakika kuna waathirika watajifunza kutoka kwako.
Sijui kwanini baada ya kusoma hii thread nimeujua huu mwandiko ....aaahh hisia mbaya...
Mungu azidi kumtia nguvu huyu lady.
