Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Yaani wanaume uliokuwa unakutana nao walikuwa wanapima kabla hamjafanya zinaa halafu wewe wanakuacha usipime?

I rest my case here
Wanaume wana swawabu nyingi mno,tunajitoaga sadaka mno mbele za hawa viumbe wa kike,Daaa! Kwa wema huo lazima waingie peponi
 
Ila alifanya maamuzi mazuri kujiweka wazi. Ni vizuri kujilinda na kumlinda unayempenda.

Rejection kitu gani bwana. Protein ulifanya maamuzi ya busara.

Naamini siku tukiacha kuwanyanyapaa waathirika nao hawatashindwa kujisema wana HIV. Kikubwa wanachohofia ni athari watakazokutana nazo wakishajiweka wazi.

Nilishawahi kwenda kusini mwa Afrika...nadhani ni jamii nzuri kuiiga kwenye suala la Ukimwi. Ukimtongoza mtu haoni shida kukuambia mimi nina Ukimwi na aliyeambiwa hata hastuki.

Huhitaji kusononeka na kuona umepoteza. Weka mind yako free utapata mwenza.

Sikutaka ku-comment kwenye huu uzi umejaa comments za kitoto.
You have my respect mkuu
 
kuishi na virusi vya ukimwi sio jambo baya kabisa...chamsingi fuata ushauri wa daktari...kula vizuri....mrudie Mungu wako...naamini utaishi maisha marefu na utafanikiwa pia
 
Ndugu huku Tz wapo wazee vijijini ambao wanatibu hiyo kitu unakuwa mzima kabisa lakini wazee wenyewe hawana umaarufu wala mbwembwe wapo kigoma, Mtwara, nk jitahidi ukipata likizo uje bongo ukakae bush kwa hawa wazee ndani ya mwezi tu unakuwa HIV Neg

Kulalamika na kutuhumu watu bila ya ushahidi wenye mashiko haitakusaidia kitu sanasana utaletewa kejeli na maneno mbofu mbofu

Maadamu umeshajijua afya yako jitahidi kujihifadhi sasa usianze kuusambaza kwa watu kwa kulipa kisasi
Hakuna kitu kama hicho virus hatibiki. Story za vijiweni hizo angekuwepo mtu anaweza tibu HIV angejulikana kilazima tu. 5% ya watanzania wana HIV unazan hawapendi tiba?
 
Ni hivi.bado ndoto zako zitatimia tu.we endelea na mipabgo yako ya kutafuta maisha.Ila tu cha kufanya badili life style hasa pale unapozani utaongeza stress. Wewe uliye pima una uhakika zaidi na afya yako kuliko sisi ambao hatujapima na hatujui status zetu.una adavantage ya kuendelea kujitunza vizuri zaidi kuliko sis ambao hatujajijua hali zetu. si unaona wewe toka mwaka 2005 ndiyo umejua leo hali yako wala hukuhisi kitu chochote.Zamani HIV ilikuwa gumzo lakini siku hizi kuna dawa za kufubaza virusi ambazo zinasaidia sana.

Songa mbele.timiza malengo yako yaliyokupeleka huko Ulaya
 
Hakuna kitu kama hicho virus hatibiki. Story za vijiweni hizo angekuwepo mtu anaweza tibu HIV angejulikana kilazima tu. 5% ya watanzania wana HIV unazan hawapendi tiba?
5% of 55,000,000 people. Aisee, hii ni hatari. 2.7m sio idadi ndogo aisee...
 
5% of 55,000,000 people. Aisee, hii ni hatari. 2.7m sio idadi ndogo aisee...
Yes report ya mwisho inasema 4.8% ukiweka na ambao hawajapima ni 5% kwa makadirio ya chini.
 
Hakuna kitu kama hicho virus hatibiki. Story za vijiweni hizo angekuwepo mtu anaweza tibu HIV angejulikana kilazima tu. 5% ya watanzania wana HIV unazan hawapendi tiba?
Mkuu mm cjakulazimisha kuamini ninachokisema! Amini unachokiamini mkuu
 
Hakuna ugonjwa usiokuwa na Tiba! Kifo tu ndio hakina Tiba
Yes kila ugonjwa una tiba ila sio kila ugonjwa una ponywa. Treatment vs cure hiv ina treatment sio cure manake hata ukipata tiba bado utaendelea kuwa na traces za virus.
 
Yes kila ugonjwa una tiba ila sio kila ugonjwa una ponywa. Treatment vs cure hiv ina treatment sio cure manake hata ukipata tiba bado utaendelea kuwa na traces za virus.
Na ulivyo mbishi bila Shaka ni Mruguru au Muha ww kuna mtu alikuwa HIV(+) status yake sasa ni HIV(-) kama una bisha nikipata likizo twende ukamuone nitakulipia na nauli akuhadisie mwenyewe
 
Back
Top Bottom