Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Kuwaonya jamani ugonjwa uko kila mahali. Huyu Zabron Baba yake ni daktari mfawidh Muhimbili hakuna aliyeamini kuwa ni muathirika
Umeamua kutaja jina lake kabisa!!!
Cool down, mambo mengine yanayohitaji privacy potezea hasa kwenye hii mitandao ya kijamii.
 
Zabron si jina lake halisi. Ameniumza sana. Kila nikijaribu kumsamehe ninajikuta ninalia.
Pole sana! Jitahidi kwa njia yoyote ile kusamehe kisha chukua hatua. Kulia hakusaidii sana maana maji yameisha mwagika. Ukisha kubali hali uliyonayo mambo yatajipa pia kumbuka kuwa by default sisi binadamu wote ni marehemu watarajiwa!
 
Pole ndugu yangu, kwenye ujana tunapitia mitihani sana ukinusurika unamshukuru Mungu, mana idadi kubwa kabla ya ndoa kwenye ku date huwa tunajisahau na kujikutana tumewaamini watu tunao date nao tunajiachia huku hata kupima hatujapima. Nakumbuka nilipopata mchumba anataka kunioa akaniambia cha kwanza kupima uuuwi nilienda kwanza mwenyewe but still niliyakimbia majibu, uzuri nilienda na rafiki yangu nikamuomba akanichukulie mana mimi nilishakimbia nikamuacha pale hospitali, aliponiambia nimeyachukua uko Negative nilihisi kama kiumbe kilichozaliwa upya, baada ya kama mwezi nikaend tena hospitali nyingine this time peke yangu, nikakutwa negative ndo nikapata sasa nguvu ya kwenda kupima na mchumba wangu
 
Kufa ni kulala lakini kuwa na HIV si kifo wala mwisho wa harakati za duniani.Amini usiamini kila mmoja wetu ni muhanga wa UKIMWI.Unaweza ukaupata weye mwenyewe, ndugu,rafiki,jamaa au hata watoto wako vipenzi.Hivyo basi machungu ya hili janga linaweza kukugusa kwa njia moja ama nyingine.
 
Pole sana! Jitahidi kwa njia yoyote ile kusamehe kisha chukua hatua. Kulia hakusaidii sana maana maji yameisha mwagika. Ukisha kubali hali uliyonayo mambo yatajipa pia kumbuka kuwa by default sisi binadamu wote ni marehemu watarajiwa!
Mwaka jana 2018 nilikutana na mwanaume wa ndoto zangu. Mtanzania, mzuri mcheshi msomi. Maongezi yalinoga sana. Tulikwenda dinner, mara ya pili tulikwenda picnic park. Siku nilipomkaribisha dinner nyumbani baada ya glass ya wine nilifinguka .

Yule kaka alikuwa hakustuka. Baada ya kuondoka aliniambia kwenye simu kuwa hataweza kunioa hivyo asinipotezee muda.

Niliumia sana.
 
Mwaka jana 2018 nilikutana na mwanaume wa ndoto zangu. Mtanzania, mzuri mcheshi msomi. Maongezi yalinoga sana. Tulikwenda dinner, mara ya pili tulikwenda picnic park. Siku nilipomkaribisha dinner nyumbani baada ya glass ya wine nilifinguka .
Yule kaka alikuwa hakustuka. Baada ya kuondoka aliniambia kwenye simu kuwa hataweza kunuoa hivyo asinipotezee muda.
Niliumia sana.
Kweli?
 
Pole sana
Mwaka jana 2018 nilikutana na mwanaume wa ndoto zangu. Mtanzania, mzuri mchshi msomi. Maongezi yalinoga sana. Tulikwenda dinner, mara ya pili tulikwenda picnic park. Siku nilipomkaribisha dinner nyumbani baada ya glass ya wine nilifinguka .

Yule kaka alikuwa hakustuka. Baada ya kuondoka aliniambia kwenye simu kuwa hataweza kunuoa hivyo asinipotezee muda.

Niliumia sana.
Pole Mkuu ila mimi leo kupitia kwako nitakuwa nakukumbushia tu vile maandiko yasemavyo ili kujilinda na haya yaliyokukuta kwa wengine pia

1 KOR. :6:18
Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom