Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Zipo online nbs unaweza soma njombe waongoza kwa 11.4p lindi ta mwisho kwa 0.4p nationwise ni 4.7p appro 5p

IMG_1373.JPG
 
Pole sana Pole Mkuu ila mimi leo kupitia kwako nitakuwa nakukumbushia tu vile maandiko yasemavyo ili kujilinda na haya yaliyokukuta kwa wengine pia

1 KOR. :6:18
Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.
Naamini mkuu wew ni msafi saana na wala haujawahi kutenda zambi ubarikiwe saaana hapo ulipo
 
Umeshajiunga "GRIDI YA TAIFA" fuata maelekezo ya wataalamu wa afya utaishi kwa matumaini na amani.
Mimi ni member mkongwe humu. Ninaishi Sweden na nina passport kwa sasa. Nilikutana na kijana Mtanzania aliyekuwa na viza ya uanafunzi 2007 kumbe slikuwa muathirika. Nilimlaribisha nyumbani kwa chakula bila kufahamu lengo lake.

Kawakua nilikuwa mpweke sana alijenga mazoea ya kuja kwangu hasa weekends. Alionyesha dalili zote za mapenzi, nilimuambia tukapime kwanza. Siku moja alijiforce kwangu na ukawa mwanzo wa mapenzi bila kupima.

Yule kijana alirudi Tanzania, niliendelea na maisha. Nilimsahau kabisa. Mwaka 2017 nilipata kazi wizara ya afya Sweden, occupation health walinipa form ya kujaza. Nilikwenda kwa daktari na kumwambia sitajali kama atatick box zote. Aliniuliza una uhakika unataka kupima HIV? Nikasema ndiyo.

Alinipa karatasi niende nayo lab. Baada ya wiki moja nilipigiwa simu nirudie vipimo. Sikuwa na wasiwasi. Baada ya wiki nilirudi kwa daktari. Aliniambia Protein una HIV. Nilidhami anaongelea mtu mwingine.

Alianza kunieleza kuwa matibabu sikuhizi yameboreshwa sana. Nenda kwenye kitengo.

Nimefika kwenye kitengo walikuwa wanafunga kwa chakula cha mchana. Ilibidi niende nyumbani. Nilisali sana kuomba huruma ya Mungu.

Saa nane nilirudi kwenye kitengo. Walichukua vipimo upya. Majibu kutoka HIV+. Nilipewa nurse alinipa counselling kuanzia saa tisa mchana mpaka 11:00 wakati wanafunga ofisi. Safari yangu kama muathirika ilianzia hapo.

Nyumbani kwetu hawafahamu zaidi ya kaka yangu ambae aliumia sana. Alisema tulikupeleka Ulaya upate maisha bora leo hii unapata HIV Ulaya?

Haya ndiyo maisha yangu mapya kama muathirika.


Baada ya maambukizi nilikaa miaka 10 bila kujijua. Nilikuja kumjua aliyeniambukiza baada ya kupata list ya wa Tanzania aliowaambukiza. Kuna uwezekano niliwaambukiza watu wawili au watatu kwani nilikuwa single nikijaribu bahati ya relationship.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee, matibabu ya ukimwi kwa ulaya yameboreshwa sana, ukifuata taratibu utaishi maisha ya kawaida tu. Nadhani kuna magonjwa hatari kushinda hilo,mfano cancer
Mimi ni member mkongwe humu. Ninaishi Sweden na nina passport kwa sasa. Nilikutana na kijana Mtanzania aliyekuwa na viza ya uanafunzi 2007 kumbe slikuwa muathirika. Nilimlaribisha nyumbani kwa chakula bila kufahamu lengo lake.

Kawakua nilikuwa mpweke sana alijenga mazoea ya kuja kwangu hasa weekends. Alionyesha dalili zote za mapenzi, nilimuambia tukapime kwanza. Siku moja alijiforce kwangu na ukawa mwanzo wa mapenzi bila kupima.

Yule kijana alirudi Tanzania, niliendelea na maisha. Nilimsahau kabisa. Mwaka 2017 nilipata kazi wizara ya afya Sweden, occupation health walinipa form ya kujaza. Nilikwenda kwa daktari na kumwambia sitajali kama atatick box zote. Aliniuliza una uhakika unataka kupima HIV? Nikasema ndiyo.

Alinipa karatasi niende nayo lab. Baada ya wiki moja nilipigiwa simu nirudie vipimo. Sikuwa na wasiwasi. Baada ya wiki nilirudi kwa daktari. Aliniambia Protein una HIV. Nilidhami anaongelea mtu mwingine.

Alianza kunieleza kuwa matibabu sikuhizi yameboreshwa sana. Nenda kwenye kitengo.

Nimefika kwenye kitengo walikuwa wanafunga kwa chakula cha mchana. Ilibidi niende nyumbani. Nilisali sana kuomba huruma ya Mungu.

Saa nane nilirudi kwenye kitengo. Walichukua vipimo upya. Majibu kutoka HIV+. Nilipewa nurse alinipa counselling kuanzia saa tisa mchana mpaka 11:00 wakati wanafunga ofisi. Safari yangu kama muathirika ilianzia hapo.

Nyumbani kwetu hawafahamu zaidi ya kaka yangu ambae aliumia sana. Alisema tulikupeleka Ulaya upate maisha bora leo hii unapata HIV Ulaya?

Haya ndiyo maisha yangu mapya kama muathirika.


Baada ya maambukizi nilikaa miaka 10 bila kujijua. Nilikuja kumjua aliyeniambukiza baada ya kupata list ya wa Tanzania aliowaambukiza. Kuna uwezekano niliwaambukiza watu wawili au watatu kwani nilikuwa single nikijaribu bahati ya relationship.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanapimwa kabla ya kusafiri nchi za watu aiseee. Stori yako nzuri na inafundisha.
Mimi ni member mkongwe humu. Ninaishi Sweden na nina passport kwa sasa. Nilikutana na kijana Mtanzania aliyekuwa na viza ya uanafunzi 2007 kumbe slikuwa muathirika. Nilimlaribisha nyumbani kwa chakula bila kufahamu lengo lake.

Kawakua nilikuwa mpweke sana alijenga mazoea ya kuja kwangu hasa weekends. Alionyesha dalili zote za mapenzi, nilimuambia tukapime kwanza. Siku moja alijiforce kwangu na ukawa mwanzo wa mapenzi bila kupima.

Yule kijana alirudi Tanzania, niliendelea na maisha. Nilimsahau kabisa. Mwaka 2017 nilipata kazi wizara ya afya Sweden, occupation health walinipa form ya kujaza. Nilikwenda kwa daktari na kumwambia sitajali kama atatick box zote. Aliniuliza una uhakika unataka kupima HIV? Nikasema ndiyo.

Alinipa karatasi niende nayo lab. Baada ya wiki moja nilipigiwa simu nirudie vipimo. Sikuwa na wasiwasi. Baada ya wiki nilirudi kwa daktari. Aliniambia Protein una HIV. Nilidhami anaongelea mtu mwingine.

Alianza kunieleza kuwa matibabu sikuhizi yameboreshwa sana. Nenda kwenye kitengo.

Nimefika kwenye kitengo walikuwa wanafunga kwa chakula cha mchana. Ilibidi niende nyumbani. Nilisali sana kuomba huruma ya Mungu.

Saa nane nilirudi kwenye kitengo. Walichukua vipimo upya. Majibu kutoka HIV+. Nilipewa nurse alinipa counselling kuanzia saa tisa mchana mpaka 11:00 wakati wanafunga ofisi. Safari yangu kama muathirika ilianzia hapo.

Nyumbani kwetu hawafahamu zaidi ya kaka yangu ambae aliumia sana. Alisema tulikupeleka Ulaya upate maisha bora leo hii unapata HIV Ulaya?

Haya ndiyo maisha yangu mapya kama muathirika.


Baada ya maambukizi nilikaa miaka 10 bila kujijua. Nilikuja kumjua aliyeniambukiza baada ya kupata list ya wa Tanzania aliowaambukiza. Kuna uwezekano niliwaambukiza watu wawili au watatu kwani nilikuwa single nikijaribu bahati ya relationship.

Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka jana 2018 nilikutana na mwanaume wa ndoto zangu. Mtanzania, mzuri mcheshi msomi. Maongezi yalinoga sana. Tulikwenda dinner, mara ya pili tulikwenda picnic park. Siku nilipomkaribisha dinner nyumbani baada ya glass ya wine nilifinguka .

Yule kaka alikuwa hakustuka. Baada ya kuondoka aliniambia kwenye simu kuwa hataweza kunioa hivyo asinipotezee muda.

Niliumia sana.
Tafuta muathirika mwenzako. Kwa kuwa umejitangaza basi watakuja inbobo huko uwapokee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni member mkongwe humu. Ninaishi Sweden na nina passport kwa sasa. Nilikutana na kijana Mtanzania aliyekuwa na viza ya uanafunzi 2007 kumbe slikuwa muathirika. Nilimlaribisha nyumbani kwa chakula bila kufahamu lengo lake.

Kawakua nilikuwa mpweke sana alijenga mazoea ya kuja kwangu hasa weekends. Alionyesha dalili zote za mapenzi, nilimuambia tukapime kwanza. Siku moja alijiforce kwangu na ukawa mwanzo wa mapenzi bila kupima.

Yule kijana alirudi Tanzania, niliendelea na maisha. Nilimsahau kabisa. Mwaka 2017 nilipata kazi wizara ya afya Sweden, occupation health walinipa form ya kujaza. Nilikwenda kwa daktari na kumwambia sitajali kama atatick box zote. Aliniuliza una uhakika unataka kupima HIV? Nikasema ndiyo.

Alinipa karatasi niende nayo lab. Baada ya wiki moja nilipigiwa simu nirudie vipimo. Sikuwa na wasiwasi. Baada ya wiki nilirudi kwa daktari. Aliniambia Protein una HIV. Nilidhami anaongelea mtu mwingine.

Alianza kunieleza kuwa matibabu sikuhizi yameboreshwa sana. Nenda kwenye kitengo.

Nimefika kwenye kitengo walikuwa wanafunga kwa chakula cha mchana. Ilibidi niende nyumbani. Nilisali sana kuomba huruma ya Mungu.

Saa nane nilirudi kwenye kitengo. Walichukua vipimo upya. Majibu kutoka HIV+. Nilipewa nurse alinipa counselling kuanzia saa tisa mchana mpaka 11:00 wakati wanafunga ofisi. Safari yangu kama muathirika ilianzia hapo.

Nyumbani kwetu hawafahamu zaidi ya kaka yangu ambae aliumia sana. Alisema tulikupeleka Ulaya upate maisha bora leo hii unapata HIV Ulaya?

Haya ndiyo maisha yangu mapya kama muathirika.


Baada ya maambukizi nilikaa miaka 10 bila kujijua. Nilikuja kumjua aliyeniambukiza baada ya kupata list ya wa Tanzania aliowaambukiza. Kuna uwezekano niliwaambukiza watu wawili au watatu kwani nilikuwa single nikijaribu bahati ya relationship.
Wanawake au wasichana wengi wameathirika kwa kutaka relationships za fasta fasta. Nadhani umeandika kama funzo kwa wengine na iwe onyo kwa mfano yanayotendeka kwenye gyms; ni ukimwi kuenea kwa kasi ya supersonic.
 
Wale wenzangu na Mimi wa Kituo Dry Chama tubadilike wakuu.
 
Wanawake au wasichana wengi wameathirika kwa kutaka relationships za fasta fasta. Nadhani umeandika kama funzo kwa wengine na iwe onyo kwa mfano yanayotendeka kwenye gyms; ni ukimwi kuenea kwa kasi ya supersonic.
Kwani mnatenda nini katika Gym?
 
Last week nilienda hospitali(zahanati) nilikuwa aasumbuliwa na jino. Cha ajabu nikaandikiwa kwenda maabara kupima namuuliza daktari ananiambia ni kupima damu kubwa(UKIMWI). Niliogopa kidogo nikajifikiria inamaana ndio uliosababisha niumwe jino?(kumbe ni utararibu wao kwa kila zahanati nchini)
Kufika maabara nikapimwa nikarudi kusubiri majibu yangu, majibu yalivyotoka daktari akaniita na kunipa majibu yangu alafu tukaendelea na mambo mengine.

Huu ugonjwa upo na unaua, ni vyema ukapima na ukajitambua status yako. Sio vizuri kuwanyanyapaa na kuwasimanga waathirika maana sio kila mwathirika ni malaya. Takwimu zinaonyesha wanandoa ndio wanaongoza kwa ugonjwa huu nchini, hivyo jilinde na umlinde umpendae.

Pole sana mkuu kwa kujikubali hali yako na kutumia dawa. Sio mwisho wa maisha.
 
Jamani hili swala sio la kukaziana macho ninachojua mimi ktk umri huu tulionao wa kwenye jamii foram bado tuko hatarini sana me hata naogopa ku-comment maana unaweza sema ulitaka mwenyewe kesho na wewe ukaja oooh jamni mm ni mwafrika....mtoto anajaa unaona kupima ya nini mbona mtoto liko vizuri kumbe ndo kitambooooo.....mwafrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni member mkongwe humu. Ninaishi Sweden na nina passport kwa sasa. Nilikutana na kijana Mtanzania aliyekuwa na viza ya uanafunzi 2007 kumbe slikuwa muathirika. Nilimlaribisha nyumbani kwa chakula bila kufahamu lengo lake.

Kawakua nilikuwa mpweke sana alijenga mazoea ya kuja kwangu hasa weekends. Alionyesha dalili zote za mapenzi, nilimuambia tukapime kwanza. Siku moja alijiforce kwangu na ukawa mwanzo wa mapenzi bila kupima.

Yule kijana alirudi Tanzania, niliendelea na maisha. Nilimsahau kabisa. Mwaka 2017 nilipata kazi wizara ya afya Sweden, occupation health walinipa form ya kujaza. Nilikwenda kwa daktari na kumwambia sitajali kama atatick box zote. Aliniuliza una uhakika unataka kupima HIV? Nikasema ndiyo.

Alinipa karatasi niende nayo lab. Baada ya wiki moja nilipigiwa simu nirudie vipimo. Sikuwa na wasiwasi. Baada ya wiki nilirudi kwa daktari. Aliniambia Protein una HIV. Nilidhami anaongelea mtu mwingine.

Alianza kunieleza kuwa matibabu sikuhizi yameboreshwa sana. Nenda kwenye kitengo.

Nimefika kwenye kitengo walikuwa wanafunga kwa chakula cha mchana. Ilibidi niende nyumbani. Nilisali sana kuomba huruma ya Mungu.

Saa nane nilirudi kwenye kitengo. Walichukua vipimo upya. Majibu kutoka HIV+. Nilipewa nurse alinipa counselling kuanzia saa tisa mchana mpaka 11:00 wakati wanafunga ofisi. Safari yangu kama muathirika ilianzia hapo.

Nyumbani kwetu hawafahamu zaidi ya kaka yangu ambae aliumia sana. Alisema tulikupeleka Ulaya upate maisha bora leo hii unapata HIV Ulaya?

Haya ndiyo maisha yangu mapya kama muathirika.


Baada ya maambukizi nilikaa miaka 10 bila kujijua. Nilikuja kumjua aliyeniambukiza baada ya kupata list ya wa Tanzania aliowaambukiza. Kuna uwezekano niliwaambukiza watu wawili au watatu kwani nilikuwa single nikijaribu bahati ya relationship.
Uko dunia ipi rafiki nenda google au tafuta mawasiliano ya familia ya dr sebi wakupe formula ya matunda ya asili hakika utapona huo ugonjwa husipo amini ni wewe na maisha yako.dawa ipo ila mzungu hawezi kuruhusu watu wajue........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom