Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Mimi ni muathirika wa UKIMWI

yanai wewe!!

Case nyingi za rape huwa haziripotiwi polisi, wanawake wengi huwa wanajisikia aibu na kuona jamii itamuonaje na itamuelewa kweli?

Kwa case kama hii, huyo ni mtu wake wa karibu na kamkaribisha kwake, hivyo anakuwa na maswali mengi mwisho wa siku anaamua kupuuzia.

Ila nisichokielewa ni hii ya kuendelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume alokubaka
Ni kweli ni ngumu sana kwa cases hizo ku repotiwa inahuzunisha kwa sababu jamii inamchukulia mwanamke aliyebakwa kama fedheha hivi

Hilo la kuendelea kukaa na mwanaume aliyembaka tumuulize tu mleta mada kuna mihogo mingine haina mizizi katikati na hivi upweke wa Ulaya wa kutokupata mwenza basi akaona amalize shida zake za miaka ndio hivyo tena ikawa ajali kazini
 
Unaweza ukacheka na kushangaa jinsi internet isivyoweza kuficha watu,ila baadae ukaumia tu. Maana mtu hadi kuanzisha id mpya ili ajiweke wazi kuhusu status yake ya HIV inaonyesha mtu huyo anaregreat.

Yeah internet hainaga habari za kukaanga sana pia hongera kwa kumfahamu kupitia uandishi wake maana hiyo pia ni kazi and if you are interested of course
 
Daaah yalinikuta mm mzee ..naamka asubuhi manzi kaenda church sasa sijui akili gani ile ilinikuta nikaanza kupekua begi lake,nikaanza kuangalia picha na vitu vingine mara paaaaap!...nikaziona TLE,COTRIMOXAZOLE,ANTIFUNGAL...yaaani nikaanza dozi fasta ya pep kwa 30 days...daaah acha mkuu mambo haya ni kumuomba Mungu tuu aisee
PEP inatesa kinoma nilikuwa nkitumia napata wenge hivi, uck nilikuwa napata multiple dreams, kipindi hicho nilikuwa nawahi kazini maana saa 10 uck tyr nko macho
 
Akipiga simu Polisi wale virus aliowaacha wanageuka vibaka au ?
Non mtu kabla anakurepia kwako ?? ??kafikaje kwanza.?Then mtu kaja kwako mnajuana hivyo kabla hajakubaka lazima akuombe kwanza. Ukiona dalili anakwenda mbali piga simu polisi wanakuja kumuondoa.
 
Kwanza huyu mtu hayupo Sweden labda Kama aliwahi kukaa huko zamani?

Ila hata mimi nisiye na rafiki humu nili guess right.

Ghafla ikaja identity mpya ya zamani ikapotea.

Anajua kupangilia story sana,anapenda kuchangia mada za waathirika vizuri Sana na kwa ushauri mzuri sana,anapenda kuchangia mada za siasa, by the way nimempenda kitu kimoja Ana huruma na upendo
 
Non mtu kabla anakurepia kwako ?? ??kafikaje kwanza.?Then mtu kaja kwako mnajuana hivyo kabla hajakubaka lazima akuombe kwanza. Ukiona dalili anakwenda mbali piga simu polisi wanakuja kumuondoa.
Yaani umemuingiza mwanaume ndani kwako uko naye anataka kukubaka wewe upige simu yeye anakuangalia tu ? Labda awe hana mikono

Abdalah kichwa wazi unamjua vizuri akishasimama ? Kuna kuwa na nguvu ya ziada sijui zinatoka wapi

Hata ukiita brigade nzima utaliwa tu
 
Yaani umemuingiza mwanaume ndani kwako uko naye anataka kukubaka wewe upige simu yeye anakuangalia tu ? Labda awe hana mikono

Abdalah kichwa wazi unamjua vizuri akishasimama ? Kuna kuwa na nguvu ya ziada sijui zinatoka wapi

Hata ukiita brigade nzima utaliwa tu
Sema Protein nae alikuwa na hamu ndo maana akamruhusu. Wala hakumbaka bwana itakuwa alimlazimisha tu. Chezea utamu wewe.
 
Kwanza huyu mtu hayupo Sweden labda Kama aliwahi kukaa huko zamani?
Ila hata mimi nisiye na rafiki humu nili guess right.
Ghafla ikaja identity mpya ya zamani ikapotea.
Anajua kupangilia story sana,anapenda kuchangia mada za waathirika vizuri Sana na kwa ushauri mzuri sana,anapenda kuchangia mada za siasa, by the way nimempenda kitu kimoja Ana huruma na upendo
Mimi mwenyewe nimempenda nipo tayari kwa lolote kwake.
 
Unaweza ukacheka na kushangaa jinsi internet isivyoweza kuficha watu,ila baadae ukaumia tu. Maana mtu hadi kuanzisha id mpya ili ajiweke wazi kuhusu status yake ya HIV inaonyesha mtu huyo anaregreat.
Victoire, you always act smarter ila nimefikiria mara mbilimbili ktk huu uzi nikahisi labda mlishakosana ktk hiyi id nyingine au ktk real world!

Inaonesha unamjua mtoa mada, ilitakiwa umuache awe wazi kutoa yaliyomoyoni mwake kuhusiana na kuambukizwa kwake.

Tena umesema anajuta, ni kweli anajuta zaidi baada ya kuandika huu uzi kwa sbbu wapo watu wanaomfahamu au wanaoshawishika kumtafuta sasa ili wamfahamu kwa id yake nyingine na inawezekana akafahamika ktk uhalisia wake kitu amabcho hakukitaka. Hii inaweza kuwazuia wengine pia kushare matatizo au uzoefu wao ktk masuala fulani fulani.
Nadhani lingebaki wazo lilelile la mtoa mada la kutifahamika kwa I'd yake ya zamani kama wafanyavyo watu wengine humu.
 
Yaani umemuingiza mwanaume ndani kwako uko naye anataka kukubaka wewe upige simu yeye anakuangalia tu ? Labda awe hana mikono

Abdalah kichwa wazi unamjua vizuri akishasimama ? Kuna kuwa na nguvu ya ziada sijui zinatoka wapi

Hata ukiita brigade nzima utaliwa tu
Mkuu ushawahi kubaka nini?
 
Sema Protein nae alikuwa na hamu ndo maana akamruhusu. Wala hakumbaka bwana itakuwa alimlazimisha tu. Chezea utamu wewe.
Mpendwa nimejalibu kuiludia mada sehemu aliyo bakwa haionekani zaidi ya kuona bibie alikuwa na hamu jamaa akatumia nafasi hiyo kumuambukiza.
 
Yaani umemuingiza mwanaume ndani kwako uko naye anataka kukubaka wewe upige simu yeye anakuangalia tu ? Labda awe hana mikono
Abdalah kichwa wazi unamjua vizuri akishasimama ? Kuna kuwa na nguvu ya ziada sijui zinatoka wapi
Hata ukiita brigade nzima utaliwa tu
"Hata ukiita brigade nzima utaliwa tu" 😂😂
 
Victoire, you always act smarter ila nimefikiria mara mbilimbili ktk huu uzi nikahisi labda mlishakosana ktk hiyi id nyingine au ktk real world!

Inaonesha unamjua mtoa mada, ilitakiwa umuache awe wazi kutoa yaliyomoyoni mwake kuhusiana na kuambukizwa kwake.

Tena umesema anajuta, ni kweli anajuta zaidi baada ya kuandika huu uzi kwa sbbu wapo watu wanaomfahamu au wanaoshawishika kumtafuta sasa ili wamfahamu kwa id yake nyingine na inawezekana akafahamika ktk uhalisia wake kitu amabcho hakukitaka. Hii inaweza kuwazuia wengine pia kushare matatizo au uzoefu wao ktk masuala fulani fulani.
Nadhani lingebaki wazo lilelile la mtoa mada la kutifahamika kwa I'd yake ya zamani kama wafanyavyo watu wengine humu.
Kama unataka watu wasikufahamu lazima ubadili na uandishi,na wakikuhisi piga kimya kimya siyo kuja kujustify. Sina ugomvi na mtu yeyote hapa JF na wala sifahamiani na mtu yeyote hapa JF.
 
Back
Top Bottom