Mimi ni mfungwa

Mimi ni mfungwa

Sawa, Sasa wewe una maoni gani juu ya hayo mawazo ya hao watu? Au wewe unajionaje hasa? Anzia tu kujibu from 1 -3
 
Uko sahihi huu ni uwasilishaji kwa kutumia falsafa za kigiriki na kisukuma sijui huyu Mzanaki amejulia wapi kumpaka mtu kwa kujisema mwenyewe.

Kama kaenda shule na alivuna alichopanda ,
Lazima mzanaki ajue tu kutumia aina hii ya uandishi
 
Kizazi hiki cha shule za kata na ubongo flava hata kikeshe hapa hakiwezi kuielewa hii fasihi.. Shule za bongo sasa hivi ni majanga.. Wengine tumekuelewa sana acha haya madesa yaendelee kupiga kelele!!!

fikra finyu hizo... usidhani eti kila msomi lazima ajue fasihi, watu tumetofautiana,na ndio maana masomo ni mengi kila mtu asome anachokipenda na kikiweza
 
watu kwa unafiki bwana, eti fasihi fasihi fasihi, fasihi nini kaandika vitu havina mantiki kabisa, elimikeni nyie fasihi sio kila kitu,ooo nyerere sijui ccm, nyerere nani mpaka atukuzwe hivyo, sifa yake ni kwani hawakuwepo waasisi wengine tz!! watu hamjaelewa mkekalia eti fasihi,
 
Kizazi hiki cha shule za kata na ubongo flava hata kikeshe hapa hakiwezi kuielewa hii fasihi.. Shule za bongo sasa hivi ni majanga.. Wengine tumekuelewa sana acha haya madesa yaendelee kupiga kelele!!!

Mkuu hata wewe hakuna ulichoelewa ungekuwaumeelewa ungetoa mawazo yakile ulichoelewa lakini badala yake umefkri kuwa hao uliowataja eti ndio hawajaelewa.
 
Sasa mbona sisi mbao hatukufahamu tunahisi ndugu zako wapo sahihi kwa namna ulivyoandika....
 
Mimi nakuona mwenye akili sana!

# Ama ni kutaka kutuaminisha kuwa, yale uliyoyasema kuhusu ndugu yako SUPU, kuwa ni chapombe na malay, kwamba uliyatamka ukiwa siyo mwenye akili timamu...(yaani katika, kumsafisha mdogo wako ili isemwe wewe uliyatamka yale ukiwa hamnazo kichwani)

# Ama, umesoma alama za nyakati na kuona kuwa, ni vigumu kwa SUPU mdogo wako kuwa mgombea urais kwa ticket ya CCM, hivyo kwa kuzingatia vile aliwashambulia watiania wenzie, kumbe basi anusurike visasi kwakuwa hakuwa mwenye akili timamu! Yaani, supu asije kulipiziwa mabaya na mgombea yeyote aliyewahi kumsema vibaya kwa kisingizio kuwa ....hamnazo!

Akili mingi sana wewe!
 
kwani mwl alikuwa na watoto wangapi jamani nauliza mm sijafahamu eti Yericko Nyerere nidhibitishe
 
Last edited by a moderator:
Kama ni mithali nimeshindwa. Naomba tusaidie. Kama ni Vile vitu vya warusi vimekupata?
Mwone official Catholic Exorcist
 
Back
Top Bottom