Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Umetisha sana mkuu!,ni wachache sana wanaojisema vile walivyo.
Hata bandiko kapotea kulielewa.Umepotea humu kwa muda sasa. Ila naona post iliyomtaja Nyerere imekutoa pangoni.
hapo umenena sana
ukiwa na chuki huwezi elewa
ukiwa mjivuni huwezi elewa
ukiogopa huwezi elewa
wasikivu tu na watulivu wataelewa kiasi ila akifafanua kidogo kundi ili litaelewa zaidi
Light travels faster than sound....
Kama alikuwa hataki watu tuelewe basi angewa pm akili kubwa wachache .
Sijui ametumia mtindo gani Wa uandishi
Nimeambua 0
Napenda kumsoma Andew cos it seems Ana akili sana. ...NA anasoma sana vitabu ..uelewa wake wa mambo mbali mbali ni extra ordinary ..nadhani kwa MTU ambayo kusomi au hujui mambo mengi hutamuelewa
Mim najua hujaelewa kitu!