Luteni Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 328
- 297
Wakuu nawasilisha kama kichwa kinavyojieleza nahitaji mnipe ushauri kama mdau wenu. Nilifeli kidato cha nne mwaka 2018 mpaka sasa hivi nipo nipo tu sina cha kufanya naishi na wazazi wangu wote bila kumsahau dada na kaka yangu ambae anasoma chuo hapo UDOM.
Mara zote nimekuwa nikiisaidia familia yetu chochote nitakachokipata kutokana na mzee hana kazi ya uhakika nimeona nije kwenu kama kuna anaeweza kuniorodheshea kazi zote ninazoweza fanya bila kuhitaji mtaji wowote.
Wakuu msaada tafadhali maana hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wangu nipo njia panda sijui nifanye kipi niache kipi.
Mara zote nimekuwa nikiisaidia familia yetu chochote nitakachokipata kutokana na mzee hana kazi ya uhakika nimeona nije kwenu kama kuna anaeweza kuniorodheshea kazi zote ninazoweza fanya bila kuhitaji mtaji wowote.
Wakuu msaada tafadhali maana hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wangu nipo njia panda sijui nifanye kipi niache kipi.