Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Komaa mkuu ukifanya kitu kwa moyo mmoja unatoboa, mimi napenda Mambo ya online Sana japo Nina biashara nyingine ndogo ndogo lakini nazifungua Kama security tu ila my main source of income ni kutoka mtandaoni na ntashukuru Mungu siku baada ya siku nazidi kuearn more.You Inspired me alot Boss, kuna rafiki yangu mmoja anapenda Online Business hasa Forex, yani sana nafikiri angeona hili andiko angefurahi sana kuona things are possible, previous years nilikuwa mweupe kabisa kwenye Forex kwasasa ninaijua japo Price Action tumekubaliana hakuna kitu kingine cha kufanya kuanzia tar 1/2021 zaidi ya FX kujenga Consistency nzuri.
Rafiki yangu anakuja Dsm tukomae wote siku moja tutapenda tuonane utupe miongozo yako maana sie bado tunachangamoto nyingi sana na tuna picha kubwa sana.
FX sijawahi kutrade kwakuwa sijaipatia muda ila nimepanga this time around nitasafiri kwenda mwanza kuonana na huyo dogo anipe SoMo.
Ametokea kuwa rafiki mzuri kwangu maana hanijui simjui lakini uwa na handle transactions zake tu na tulijuana kwenye telegram group la jamaa waliokuwa wanauza line za safaricom humu. Yani Leo tu nimetoka mtolea na kumtumia 120$ si muda.
Dogo kanipa kimuhe muhe