HaruniHuberth
New Member
- Aug 23, 2022
- 2
- 1
Ndugu wanafamilia wa Jamii forums, nawasilimu kwa jina la Jamhuri,
Maji yamenifika shingon mwenzenu, mim ni mhitimu shahada ya ualimu tangu 2016 , nimejaribu kupambana niwezavyo kutafuta ajira bila mafanikio.
Baada ya kuona ajira zinakuwa ngumu, nikatafuta kazi kwenye kampuni ya ulinzi nikafanikiwa kupata, japo huwa ni kazi za muda, sasa baadae Mkataba ulishamalizika
Mbali na ulinzi pia mimi ni dereva mzuri wa wa magari ya aina yote isipokuwa Mabasi makubwa na magari ya mizigo kama sem
Baada ya kazi ya ulinzi kuisha nilitafuta kazi nikapata kazi ya udereva gari ndogo za kubeba abiria sasa mwaka jana mwez wa 7 gari zote ndogo zilizuiwa kufanya kaz ya kusafirisha abiria, tayari nikawa Nimekosa kazi tena
Sasahivi natafuta kazi yoyote ambayo inaweza kunisaidia kukidhi Nahitaji yangu, uzoefu, NIMEFANYIA KAZI MGODIN YA ULINZI MIAKA 2, pia nilikuwa na permit ya kuendesha gari,
Nina iman humu ndan Mpo wengi wa kunishika mkono, namba angu ya simu 0758968314
Maji yamenifika shingon mwenzenu, mim ni mhitimu shahada ya ualimu tangu 2016 , nimejaribu kupambana niwezavyo kutafuta ajira bila mafanikio.
Baada ya kuona ajira zinakuwa ngumu, nikatafuta kazi kwenye kampuni ya ulinzi nikafanikiwa kupata, japo huwa ni kazi za muda, sasa baadae Mkataba ulishamalizika
Mbali na ulinzi pia mimi ni dereva mzuri wa wa magari ya aina yote isipokuwa Mabasi makubwa na magari ya mizigo kama sem
Baada ya kazi ya ulinzi kuisha nilitafuta kazi nikapata kazi ya udereva gari ndogo za kubeba abiria sasa mwaka jana mwez wa 7 gari zote ndogo zilizuiwa kufanya kaz ya kusafirisha abiria, tayari nikawa Nimekosa kazi tena
Sasahivi natafuta kazi yoyote ambayo inaweza kunisaidia kukidhi Nahitaji yangu, uzoefu, NIMEFANYIA KAZI MGODIN YA ULINZI MIAKA 2, pia nilikuwa na permit ya kuendesha gari,
Nina iman humu ndan Mpo wengi wa kunishika mkono, namba angu ya simu 0758968314