mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,882
- 136,798
Hiyo ni tafsiri yako, siwajibiki nayo!Inamaana hata wewe huwez kuongoza familia yako ndio maana uko tayari kuongozwa ...heshimu maagizo ya baba wa taifa
Watu mmeanza kugeuka maagizo ya baba wa taifa mapema hivi.Ninashauri muda uongezwe,Ila akija Rais mwingine ambaye afai muda upunguzwe.ila wasltu wanajiita ccm wamewatesa watanzania kwa miaka mingi na kungangania chama kikawa chama cha ukoo Fulani sasa wanaisoma namba.JPM amekuwa dawa yao.watanzania wanahitaji maendeleo na sio katiba.wanaohitaji katiba ni wale wale walioeatesa watanzania yangu Uhuru.
wanasema katiba syo msaafu mzeeWatu mmeanza kugeuka maagizo ya baba wa taifa mapema hivi
Nani kasema msaafu ni katiba
Labda wewe ni wa ccm ya ufipaWakuu habari,
Nasikitishwa na ukiukwaji katiba na kanuni unaotaka kufanywa CCM.
Baba wa taifa alituasa kuwa yeye ndiye wa mwisho kutawala kwa muda mrefu kwenye nchi hii na asitokee yeyote mwenye tamaa kujaribu kutawala kwa muda mrefu.
Nimeshangazwa na mwanachama mwenzangu Mbunge Kessy wa Nkasi anaesisitiza katiba ibadilishwe ili rais aongezewe muda kwakuwa anafanya mambo mazuri.
Swali langu: Je, katika nchi hii hakuna watu wengine wenye nia njema na nchi yetu zaidi ya Magufuli?
Je, nchi hii sisi wengine hatutakiwi kuwa Marais?
Je, ule utaratibu wa kupokezana kijiti ndio unakufa?
Je, tunawafundisha nini watoto wetu?
Nakemea kwa nguvu zote na yeyeto atakayeenda kinyume na matakwa ya baba wa taifa alaaniwe kwa kumkosea heshima muasisi wa taifa hili
Lumumba kindakindaki
Watanzania wanahitaji maendeleo.nani aongoze lini na kwa kipingi gani sio kipaumbele.kwa Sasa JPM anatosha kwanza ili watanzania wajifunze kuchagua kiongozi. Kuna Rais mmoja alitawala nchi alitembelea nchi zote duniani tukiambiwa anakwenda kuomba misaada na bado umaskini ukakua.emmirate airline kila mwezi alikuwa anakata tickets za first class na likiwa kundi kubwa la wanaongozana naye.tuliyenaye Sasa hajui ulaya na mambo yanaivaHuyu Rais naye anatakiwa apumzike kumuongezea miaka kutapunguza ufanisi wa kazi na pia kuna wengine wengi wenye nia nzuri na uwezo wa kuongoza nchi. CCM isitumie wingi wao Bungeni kupitisha kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndani ya ccm na hata nje ya ccm kwa kizazi hiki sioni wa kumfikia magufuli hata robo utendaji wake.Wakuu habari,
Nasikitishwa na ukiukwaji katiba na kanuni unaotaka kufanywa CCM.
Baba wa taifa alituasa kuwa yeye ndiye wa mwisho kutawala kwa muda mrefu kwenye nchi hii na asitokee yeyote mwenye tamaa kujaribu kutawala kwa muda mrefu.
Nimeshangazwa na mwanachama mwenzangu Mbunge Kessy wa Nkasi anaesisitiza katiba ibadilishwe ili rais aongezewe muda kwakuwa anafanya mambo mazuri.
Swali langu: Je, katika nchi hii hakuna watu wengine wenye nia njema na nchi yetu zaidi ya Magufuli?
Je, nchi hii sisi wengine hatutakiwi kuwa Marais?
Je, ule utaratibu wa kupokezana kijiti ndio unakufa?
Je, tunawafundisha nini watoto wetu?
Nakemea kwa nguvu zote na yeyeto atakayeenda kinyume na matakwa ya baba wa taifa alaaniwe kwa kumkosea heshima muasisi wa taifa hili
Lumumba kindakindaki
Kauli za baba wa taifa kuwapendelea wafugaji wa kimasai na wa kanda ya ziwa?Tukosoe kwa hoja tukishindilia kauli za baba wa taifa
Katiba iheshimiweWakuu habari,
Nasikitishwa na ukiukwaji katiba na kanuni unaotaka kufanywa CCM.
Baba wa taifa alituasa kuwa yeye ndiye wa mwisho kutawala kwa muda mrefu kwenye nchi hii na asitokee yeyote mwenye tamaa kujaribu kutawala kwa muda mrefu.
Nimeshangazwa na mwanachama mwenzangu Mbunge Kessy wa Nkasi anaesisitiza katiba ibadilishwe ili rais aongezewe muda kwakuwa anafanya mambo mazuri.
Swali langu: Je, katika nchi hii hakuna watu wengine wenye nia njema na nchi yetu zaidi ya Magufuli?
Je, nchi hii sisi wengine hatutakiwi kuwa Marais?
Je, ule utaratibu wa kupokezana kijiti ndio unakufa?
Je, tunawafundisha nini watoto wetu?
Nakemea kwa nguvu zote na yeyeto atakayeenda kinyume na matakwa ya baba wa taifa alaaniwe kwa kumkosea heshima muasisi wa taifa hili
Lumumba kindakindaki
KengeMexican Gang,
Maneno ya Nyerere sio msahafu wa Watanzania.
Wewe utakuwa mmoja wa watu waliokuwa wachache wa kula keki ya taifa .sasa unaisoma namba.tulia kwanza tupate maendeleo.Kenge